Jamani hata 'Dr' Lyatonga Temeke si 'kwake' lakini aligombea! Huyo Mwinyi hata kama asili yake ni Mkuranga lakini ni Mzanzibari! Ukitaka kumtafuta Mzanzibari Original unaweza kumkosa maana utakuta kuna wenye asili ya wanyamwezi, waarabu, wahindi, wangoni, nk!waliopo wamewaelemea magamba kila kona, ni bora akangalia majukumu ya kitaifa zaidi. Morover, Igunga sio 'kwake', isije kuwa kama Hussein Mwinyi: kutoka Mkuranga mpaka ZNZ!
Namshauri Dr Slaa akagombee Ubunge Jimbo lililoachwa wazi na Fisadi Na. 1 Tanzania, Rostam Aziz, arudi tena Bungeni kuongeza nguvu!
Nawasilisha! Tujadili!
Kijana unatakiwa ujifue kweli dhidi ya magamba maana wanapenda sana ushindi wa mezani kupitia Tume isiyo Huru ya Uchaguzi!Tupo kibao vijana wake na tupo tayari kabisa kupambana kulingoa jimbo la Ingunga kutoka katika utawala wa ki magamba magamba na kupeperusha bendera ya haki na demokrasia ya kweli kwa watu wote.
Kweli kabisa! Utashangaa Prof Lipumba naye kukimbilia kugombea huko!Dr. ni Mtanzania na ana haki ya kugombea mahali popote maana anatetea watanzania... naunga mkono hoje 100 kwa 100
hiyo tetesi umeitoa wapi inaonekana kama umeitunga wewe imekaa kiwewe wewe tu ili nawewe uonekane umeanzisha mada humuKuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA
Sifa na uwezo wa kushinda anao bt maamuzi ya kugombea huko igunga hana, hafikiri jimbo, mawazo yake yapo ktk kushika dolla ya nchi.Kuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA
Kuna habari isiyo rasmi kwamba Dr slaa atagombania jimbo la Igunga. JE ANASIFA ZA KUSHINDA
Sifa na uwezo wa kushinda anao bt maamuzi ya kugombea huko igunga hana, hafikiri jimbo, mawazo yake yapo ktk kushika dolla ya nchi.
Kweli hakuna NCHI tanganyika. Magamba wameiuza tayari.nchi gani hiyo? Kwanza jamaa kukaa benchi inamuuma maana anaona wenzie wanachukua sifa mjengoni anahisi kwenye medani za siasa anaanza fifia that why kila tamko na habari ya chama anataka aitowe yeye as if chama hakina hafisa habari/katibu mwenezi
Usisiem wako utakuponza, endelea kupiga domo lapda mukama atakufanyia mpango!nchi gani hiyo? Kwanza jamaa kukaa benchi inamuuma maana anaona wenzie wanachukua sifa mjengoni anahisi kwenye medani za siasa anaanza fifia that why kila tamko na habari ya chama anataka aitowe yeye as if chama hakina hafisa habari/katibu mwenezi
KINGXVI ni Gamba la sisiem humu forum!Kweli hakuna NCHI tanganyika. Magamba wameiuza tayari.