Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Dr Wilbroad Slaa amesitisha operesheni M4C kwa siku 5.
Dr Slaa ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CDM amesema amekubaliana na Serikali kwa maslahi ya nchi kupisha zoezi la sensa liishe ili kuepusha uvurugwaji wa zoezi hilo muhimu kwa Taifa.
Hata hivyo kiongozi huyo kipenzi cha watanzania ametoa onyo kali kwamba kamwe hatakubaliana na visingizio vyovyote vya kuzuia operesheni yao baada ya sensa.
Dr Slaa ameendelea kusema tayari kikosi cha ufundi cha CDM chenye makamanda karibu 100 tayari kimewasili mkoani Iringa kusimamia operesheni M4C inayotikisa nchi kwa sasa...
Source:Habari ITV
Dr Slaa ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CDM amesema amekubaliana na Serikali kwa maslahi ya nchi kupisha zoezi la sensa liishe ili kuepusha uvurugwaji wa zoezi hilo muhimu kwa Taifa.
Hata hivyo kiongozi huyo kipenzi cha watanzania ametoa onyo kali kwamba kamwe hatakubaliana na visingizio vyovyote vya kuzuia operesheni yao baada ya sensa.
Dr Slaa ameendelea kusema tayari kikosi cha ufundi cha CDM chenye makamanda karibu 100 tayari kimewasili mkoani Iringa kusimamia operesheni M4C inayotikisa nchi kwa sasa...
Source:Habari ITV