Baada ya kusababisha kifo cha kijana mdogo ndio anapata akili. Huyu yuko radhi watanzania wote wafe ilimradi yeye aingie ikulu.Big up Dr Silaa, You are always a great man in my heart because of your WISE DECISION. KEEP IT UP!!!!!
Baada ya kusababisha kifo cha kijana mdogo ndio anapata akili. Huyu yuko radhi watanzania wote wafe ilimradi yeye aingie ikulu.Big up Dr Silaa, You are always a great man in my heart because of your WISE DECISION. KEEP IT UP!!!!!
vijana wa Zitto utawajua tu
Baada ya kusababisha kifo cha kijana mdogo ndio anapata akili. Huyu yuko radhi watanzania wote wafe ilimradi yeye aingie ikulu.
Hakunaga Zaidi Ya Jembe Dr.slaa! Busara Zako Daima Zitakutofautisha Na Makatibu Wa Vyama Vingine.
Mkuu hawa wangekuwepo makini mbona mafungu ya EPA,malipo ya RADAR kwenye akaunti binafsi za kina Chenge,Idrisa nk nk nk wangekuwa walishadakwa siku nyingi!Bajeti ina utata, mshiko haujaingia bado, anti money laundering wanachunguza vyanzo na nia.
Mkuu umesema neno.Hivi unaweza kudhani Mukama ana cheo sawa na cha Dr Slaa? Utadhani Mukama ni mjumbe wa nyumba kumi.
Mkuu irudie tena kusoma utaelewa.Naona wewe ndio unakimbia...
Mkuu hawa wangekuwepo makini mbona mafungu ya EPA,malipo ya RADAR kwenye akaunti binafsi za kina Chenge,Idrisa nk nk nk wangekuwa walishadakwa siku nyingi!
umeanza kuwashwa sehemu ya nyuma ya chini ya mgongo karibu tukuwashue maana ccm wako legelege maana umezoea ndio maana akili yako kama ya jamaa aliyeuwawa mombasa juzi ha ha haBajeti ina utata, mshiko haujaingia bado, anti money laundering wanachunguza vyanzo na nia.
Kweli wakati mwingine nakubaliana na maneno ya molemo, kweli bila Mbowe CDM ni history. Busara zake ni muhimu sana, huu upuuzi ulio tokea moro usinge tokea kama angekuwepo nchini.
Slaa,damu ya huyo kijana iko mikononi mwako.
Mkuu hawa wangekuwepo makini mbona mafungu ya EPA,malipo ya RADAR kwenye akaunti binafsi za kina Chenge,Idrisa nk nk nk wangekuwa walishadakwa siku nyingi!
Mkuu molemo,sababu ya Kabwe kutofika jana Moro kwenye mkutano zimefahamika? Dr mwenyewe alikaririwa akisema mawasiliano yake hayapatikani,,
Kweli wakati mwingine nakubaliana na maneno ya molemo, kweli bila Mbowe CDM ni history. Busara zake ni muhimu sana, huu upuuzi ulio tokea moro usinge tokea kama angekuwepo nchini.
Slaa,damu ya huyo kijana iko mikononi mwako.
mkuu achaneni na kabwe huyo ni miongoni mwa walobemendwa na sisiemu. Ana rang nyingi yuleMkuu molemo,sababu ya Kabwe kutofika jana Moro kwenye mkutano zimefahamika? Dr mwenyewe alikaririwa akisema mawasiliano yake hayapatikani,,
Kweli wakati mwingine nakubaliana na maneno ya molemo, kweli bila Mbowe CDM ni history. Busara zake ni muhimu sana, huu upuuzi ulio tokea moro usinge tokea kama angekuwepo nchini.
Slaa,damu ya huyo kijana iko mikononi mwako.[/QUOTE
Mapenzi yako kwa mbowe yana ulakini!Damu ya kijana aliyeuwawa na polisi wa ccm ipo mikononi mwa Mwema,Rpc na Abood.