- Thread starter
- #21
Sababu za kusutisha? Mbona unatoa habari nusu nusu, unakimbilia wapi?
Mkuu irudie tena kusoma utaelewa.Naona wewe ndio unakimbia...
Sababu za kusutisha? Mbona unatoa habari nusu nusu, unakimbilia wapi?
Kweli wakati mwingine nakubaliana na maneno ya molemo, kweli bila Mbowe CDM ni history. Busara zake ni muhimu sana, huu upuuzi ulio tokea moro usinge tokea kama angekuwepo nchini.
Slaa,damu ya huyo kijana iko mikononi mwako.
Afadhali. Ngoja nipumue kidogo kuvuta siku. Huku nilipo siku wakija sijui itakuwaje, mtatuua jamani na mawazo
Mpaka kafa mtu ndio wanasitisha fujo zao,walikua wapi siku zote hizi.
Dr.Sla nafikiri ni kiongozi wa chama tawala cha CCM.Mmmmm! Hivi kiongozi wa upinzani ni dr Slaaaa!
Mkuu rekebisha heading and content...sio Dr Slaa kasitisha, bali ni CHADEMA imesitisha..nadhani tuweke kumbukumbu sawa kwa faida ya vizazi vijavyo na vya sasa.
Naona leo unatapika.Kweli wakati mwingine nakubaliana na maneno ya molemo, kweli bila Mbowe CDM ni history. Busara zake ni muhimu sana, huu upuuzi ulio tokea moro usinge tokea kama angekuwepo nchini.
Slaa,damu ya huyo kijana iko mikononi mwako.
Mkuu wangu mimi naona heading haina tatizo kwa sababu Dr Slaa anazungumza kwa niaba ya chama.Fahamu yeye ndiye mtendaji mkuu.Na ndio maana ni yeye aliyetoa tamko mbele ya vyombo vya habari...Akitoa Tamko Mbowe au Dr Slaa ni wazi ni Tamko la chama...
Naona leo unatapika.
Kunywa maji kidogo kalale!
Sawa kamanda, kama unadhani iko poa hakuna shaka.
vijana wa Zitto utawajua tuMkuu rekebisha heading and content...sio Dr Slaa kasitisha, bali ni CHADEMA imesitisha..nadhani tuweke kumbukumbu sawa kwa faida ya vizazi vijavyo na vya sasa.
Hata kuku kwa kutumia ubongo wake angetambua kuwa kuna maisha ya mtu tena asiye na hatia yamepotea kwa sababu ya kiburi cha CCM na polisi wao. Lazima uhai wa mtu uheshimiwe, mie naamini operesheni imesimamishwa kuomboleza kifo cha kijana aliyepigwa risasi na vilevile kuandaa taratibu za mazishi ya kishujaa.....kumbuka huu ni ukombozi mwingine.
vijana wa Zitto utawajua tu
kuna mata(ko) mmoja anajiita shigella, ameongea uharo ITV kwenye habari kaniudhi sana!
we ukiona CCM inampiga mtu chini basi hata kunguru haimgusi.haka kababu slaa kanazeeka vibaya.
haka kababu slaa kanazeeka vibaya.
Big up Dr Silaa, You are always a great man in my heart because of your WISE DECISION. KEEP IT UP!!!!!