- Thread starter
- #41
Viva m4c
Viva.....Viva M4C
Viva m4c
hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !
Chadema bado hakijawa chama cha upinzani hasa...hebu kuna walau nukata moja ya sheria za nchi hii mumeshawishi kubadilishwa walau iwemo katika sehemu ya mafanikio yenu...naona mnapwaga tu!
Kumbe Chadema,inayojiita chama makini ina ugomvi na hata vyama pinzani?
Wewe uko nchi gani? Mbona una omba dua za mbweha kwa binadamu na mikono yake? Chadema will fluorish and win the upcoming general and by-elections , like it o not.
hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !
Kilosa wachaga wengi sana ndiyo maana...hahahahahahahahaha...M4C mwanzo mwisho
Umechemsha hapo, unaijua kilosa au unaisikia, hii ilikuwa ngome ya ccm na hao wachaga unaosema ni wa kuokoteza usidanganye watu,tekelezeni ahadi zenu sio kuiba na kupeleka fedha uswis , lipo daraja pale kilosa treni na magari yanapita yote humo kisa mmeshindwa kujenga daraja la magari, poleni
hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !
Kauri zako zinanikumbusha matumaini ya mtu anayejua kuwa kifo kina mnyemelea! njiwa, upende usipende "is a matter of time, CCM is approaching a tomb"hahahaha! Huyu Mzee Slaa reminds me of an old, dying dog with just a few kicks left in it. and this was one of those kicks ... its a mater of time CDM kusambaratika ... Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. .. Tick.. tock.. !
Mkuu hujamwelewa Crashwise na wala hujamtendea haki.Rudia kumsoma vizuri btn the lines utamwelewa...M4C forever....
Inaweza kuwa sijamuelewa lkn upeo wangu mdogo wa kumuelewa ni kwamba anadai wachaga ni wengi ndio maana chadema imekubalika kilosa,ingawa amemalizia na unachomaanisha sijamuelewa lkn ukweli unabaki kuwa siku zote unapoandika insha lazima uanze na unachotaka mtu aelewe dhamira yako,to me amemaanisha hivyo, si unajua kila mtu anauelewa tofatu? Neno wachaga wengi limeondoa maana ya kile alichotaka kieleweke
Mkuu njiwa,
Naona maneno yako yamekuwa sumu kila mmoja anakujibu kivyake mpaka wamesahu mada yao ya CUF kusambaratika.
Mkuu wangu Kamanda Crashwise alikuwa anakejeli Magamba wanaodai CDM ina nguvu sehemu zenye wachaga tu...Crashwise ni mpiganaji nguli wa M4C....