Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Swali zuri kwa watu wanao tumia kamasi kufikilia......kama unataka dr Slaa awaleke mahamakani mafisadi wote basi mimi na wewe tuungane kupigania katiba ili mwisho wasiku tuwe na tume bora na siyo bora tume nina uhakika ataongoza serikali halafu hayo maswali yata pata majibu....Swali zuri sana mkuu, ila watanzania tumetekwa na ushabiki, hatusumbui vichwa vyetu kutafakazi maneno kama haya. Hivi kweli kwa nini SLAA akiguswa anakimbilia kusema kma kuna ushahidi na waende mahakamani, yeye wakati anataja listi of shem hakujua kama kuna mahakama au alitudanganya ili apate umaarufu.