wewe hujui kitu , matokeo ya urais ,hata yakichakachuliwa hayapingwi mahakamain !!!!!!!!!!!!!, ccm wanataka kutonyonya mileleakapinge matokeo mahakamani sio ktk itv!!!
Watu wenye hulka ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi wanajulikana kwa matendo yao; Buckreef ni mmoja wao. Yawezekana ni mtoto au ndugu wa mafisadi, au fisadi lenyewe. Ucheleweshaji wa matokeo ya ubunge ni dalili tosha ya wizi wa kura. Haiingii akilini nchi ya zanzibar wameshatoa matokeo ya urais huku bara hata ya ubunge ni shida kuyatoa hadi wanachi waandamane. Bila wananchi kuwa macho majimbo kama ubungo, Arusha, Ilemela na Nyamagana kura Zingeibwa. CCM ni wezi wa kura. Kamwe tusikubali matokeo yasiyo halali.
Nchi yako na nani, RostamBora Useme ukweli ndugu yangu, Kwanzi mawakala kazi yao ni nini????????????? Wanataka kutuharibia Nchi yetu bure. Mshindwe na mlegeeeee
Frankly speaking and writing nimependa comment yako mkuu, i was always downlooking you but i've come to appreciate you. Thanx but i'm sorry for always having a negative attitude about you. My confessions!Anachoamanisha Slaa ni kuwa kumekuwa na tofauti kubwa kati ya kura za NEC na zile za majimboni na hii yote ni inaleta fikra kuwa sisiemu wanataka kufikia asilimia 80 mie nadhani kwa jinsi tume yetu ilivyo hakuna budi kushindwa ila nguvu zielekezwe kwenye majimbo yaliyobakia ili wasiibe na pindi upinzani ukiwa na wabunge wengi jamaa hawatapata theluthi mbili which is good for starting kuelekea ukombozi wa kweli.
Kaoshe kwanza ndo uilete hapa tuichakachue ndo utaelewa tunamaanisha nini!~Hakuna wizi wowote ulio fanyika , ameisha ona anashindwa na hana la kufanya anawadanganya kuwa ameibiwa. Hana jipya Slaa na hili wala sio jipya kulisikia kutoka kwake, tulilitegemea kabisa.
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema, atayakataa matokeo ya urais yatakayotangazwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kwa kuwa kumefanyika wizi mkubwa wa kura.Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Dk Slaa alisema, kama NEC inaitakia mema nchi hii, ifute matokeo yote ya urais na uchaguzi urudiwe upya.
Dk Slaa ambaye pia ni Katibu Mkuu wa chama hicho, alisema wamekuwa wakifuatilia matokeo ya nchi nzima kwa umakini mkubwa na wamegundua kuna wizi mkubwa wa kura kwenye nafasi za urais na ubunge.
"Kuna uchakachuaji mkubwa wa kura na kazi hiyo inafanywa na usalama wa taifa,"alisema Dk Slaa.
Source: Gazeti la Mwananchi
Sielewi nikitu gani anakitaka huyo DR SLAA haswaa pale anapo dai kwamba wamechakachua matokeo {KWA HIYO ANAMANISHA KWAMBA YEYE NDO ALIPASWA KUSHINDA AU ANAMAANA KITU GANI?}:thinking: jamani asije tupeleka BAGHDAD
Pumba...zenu eti Dr. Slaa anataka kutupeleka wapi? Jiulize CCM/kikwete na mafisadi wake wanataka kutupeleka wapi??? Dr. Slaa anapigania haki ya watanzania wewe nyang'au unayemshangaa kukataa kukubali matokeo ulitaka afanye kama alivyofanya CUF zanzibar??? Hapa mpaka kieleweke kama kukosa tukose wote. CCM NDIYO WANAOICHAFUA NCHI YA TANZANIA SASA KITAELEWEKA MWAKA HUU MBU...............iiiiiiiiiiii HAWA! Mmeshatunyanyasa vya kutosha mbivu na mbichi mtaijua sasa.
Kwenye njia sahihi, right path, Kiravu na makame wamewapoteza njia watanzania