LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
hata akipinga Kikwete atakuwa raisi tu.
aende Vatcan akapinge
Nilikuwa sijui kuwa hata soda zinalewesha! sasa Vatican ina uhusiano gani na,
uke:Soda!!
hata akipinga Kikwete atakuwa raisi tu.
aende Vatcan akapinge
akipinga haya matokeo, atakuwa chizi. Humu humu jukwaani tulisema sana, akipata asilima 20 tutashangaa sana.
Tulishawaambia hapa hapa JF, huyu Slaa ni chizi. Mtu una over 40 years bado unaishi na mchumba? Bado mnasema ati maisha ya mtu binafsi hayana uhusiano na SIASA? Muhimu kawezesha watu kubadilika kimawazo na kuchangamsha nchi sana. Vinginevyo, hata itokee malaika kushuka, kamwe hawezi kuwa Rais wa nchi yoyote Duniani.
Unajuwa kuna watu wanadhani DEMOKRASIA NI KUKUBALI KILA KITU.......................Kupinga ni sehemu ya demokrasia.
Maisha Bora kwa kila Mtanzania!! Ngojamwaka huu tuwaburuze mahakamani!!
tulishawaambia hapa hapa jf, huyu slaa ni chizi. Mtu una over 40 years bado unaishi na mchumba? Bado mnasema ati maisha ya mtu binafsi hayana uhusiano na siasa? Muhimu kawezesha watu kubadilika kimawazo na kuchangamsha nchi sana. Vinginevyo, hata itokee malaika kushuka, kamwe hawezi kuwa rais wa nchi yoyote duniani.
Acha vitisho wewe! Wewe ni nani katika nchi hii mpaka kutishia watu? Eboo!This is going to backfire. You watch. There goes the credibility. No spine. We knew all along Maalim Seif has more spine than your boi Slaa.
Mmeshaona waTanzania wote wahuni. Haya jipangeni kuingia mtaani. And we will see.
Wewe hujui hata siasa unasoma vitabu vya Propaganda unasema IDI AMINI alikua dictator si kweli waulize waganda wenyewe. Mkwere yuko fresh ametia Discipline kidogo maana kuna watu waliona nchi hii wao ndo wanahaki peke yao kwa hiyo kukosa upendeleo mimacho imewatoka wala siwashanghai. mme data baada ya kuona hamna pa kushika mnakimbilia sasa upinzani, upinzani ulikuwa 1995 sio sasa. saahizi ni mahangaiko tu ya waliotoswa na MKWERE anataka lelemama mkwere!
For Uselemani, gosh kuna kipofu asejua CCM ni gaidi wa wizi, unajaribu kumhadaa nani hapa, nenda michuzi labda kwa vibaraka wenzio. NEC=CCM nani asiejua? nani asiejua SLaa ameongoza kwa kura kwa trend za vituo vilivyoonyesha?? we unafikiri watu wanapinga bure , mbona mbowe hakupinga ?? unafikiri watu wanakurupuka? NAkwambia hata haki inyimwe vipi nguvu ya umma itaitafuta tuuuuuu. U can never hide light with darkness. JK aone kabisa asivyopendwa kwa uzandiki wake ? Dhambi aliyomfanyia Salim ahmed Salim kuwa si raia itaendelea kumtafuna hadi kiama hadi kwa mola wakee. Na dhambi hiyo hiyo ndio inatukost taifa letu leo, kila daladala ukipanda, kila kijiwe , kila mkusanyiko (kasoro wa vibaraka kama wewe) wanalalamika uongozi mbaya , uozo WA JK na ufinyu wa sera.
Inshallah Allah yupo na JK dhamira itamsuta tu , kama si leo ipo siku . Na najua hata wewe ndani ya dhamira yako unasutwaaa...utahide ila unasutwa , unapojua nchi ina hela na rasilimali nyingi ila wagonjwa wanakufa kwa kukosa dawa wakati JK na wenzie wanaenda checkup Marekani, ukiangalia temeke hosp wajawazito wanalala watu nane..... huku Spika yuko uingereza kwa mamilioni ya pesa, hakika kama una dhamira utachukia na pengine chozi litakutoka...........unapoona mashangingi barabarani huku wanafunzi na usafiri wa umma ni mateso na dhiki ....walahhi utaumia roho. Ila kwa wasipoenda haki (kama wewe), wanaopenda kula huku wengine wamelala njaa (kama wewe) wanaopenda kwenda ujerumani kucheki afya huku maelfu wamepanga foleni ya kupata panadol na wataambiwa wachangie ndio hao ambao dhamira zao zimekufaaaaaaaaaa na watanedelea kushangilia ufisadi wa CCM.