Elections 2010 Dr Slaa Anaongoza, Tafiti and online polls

Malunde-Malundi

JF-Expert Member
Jan 10, 2008
1,288
130
Nimeangalia uchaguzi huu tangu uanze, siku 20 zimeshakatika; bado siku kama 50 hivi kufika siku ya uchaguzi; tofauti na changuzi zingine; CCM mwaka huu wako defensive zaidi; tafiti zao za Redet, Synovate ambazo huwa zinawapa na kuwaongezea makelele, Mwaka huu Dr Slaa anaongoza sasa wanazichakachua ili walau walete kitu fulani waweze kuongeza kelele; tumeona online polls ambazo zote Kikwete aliongoza zote 2005; sasa ameachwa mbali ukianza na hii ya jamii; nenda kule ile ya Daily news (ilifungwa maana Dr Slaa alikuwa na 80%; kikwete 17% bila mabadiliko kwa muda hatimaye wakaitoa). Wagombea wao majimboni ni dalili kuwa upinzani wa mwaka huu una nguvu sana na ndio maana wamezuia kuhudhuria midahalo; Tumeshuhudia midahalo ambayo kwa siku za karibuni wapiga kura wanaziangalia sana; tumeshuhudia mipango ya wapinzani mwaka huu;ni mikali tofauti na kabla Dr Slaa hadi sasa hajafika mji wowote sijui akifika na huko itakuwaje;bado anachukua kura za wakulima na wafugaji kwanza kabla ya kurudi mijini; Kura zinatengeneza UK; inanipa imani hawawezi kutengeneza Radar ingine; hakutakuwa na kura za mchina mwaka huu; so yote hayo yananipa imani kubwa kabisa; watu kimya ila utashangaa sana mwaka huu; nimetembea vijiwe kadha watu wakimuona mtu wa CCM wanakaa kimya akiondoka wanasema; Mwenye kumdharau Dr Slaa labda hana akili; sasa hizo ni dalili za kumwadhibu mtu kimya kimya;maono yangu hayo
Haya yote yananipa imani kuwa Dr Slaa ataweza kushinda kwa asilimia kama 53% na wengine atawabakizia; na hii ni kwa sababu tu watajaribu kumkashifu pamoja na kumpelekea ving'amuzi kama vya dodoma pamoja na kufanya umafia dakika za mwisho kama ule wa CUF-2005(Chadema watch out this 2010 maana bado wanatafuta pa kutokea) na hawatazipunguza kura hizo;Dr Slaa atashinda ila Bunge litakuwa chini ya CCM kwa asilimia kadhaa; coountry firts sio tatizo; hao hao watakimbizwa mchakamchaka mpaka watasema basi; na kazi itafanyika na baada ya hapo nchi itarudi ktk mstari wa Mwalimu; na huko aliko Mwalimu Nyerere atashangilia tena baada ya kuhuzunika karibu miaka 10.

Mhimu: 1. Mawakala imara 2. Kuna uhuni wa kizushi utatengenezwa hapo mbeleni kumchafua zaidi Dr Slaa 3. Kuhamasishana zaidi jinsi muda unavyokwenda; watachanganyikiwa na kukubali kushindwa; Jeshi halina shida linajua umhimu wa haya mageuzi ya fikra yanayokuja; hicho ndiocho kizuri
 
Nakubaliana nawe kwa sehemu. Bado kuna sehemu kubwa za vijijini ambapo mbinu mwamko huu haujafika. Hapa ndipo nashauri wagombea wa ubunge waende maana Dr. Slaa hawezi kufika kila mahali.

Polls zote zinaonyesha hali mbaya kwa CCM japo najua CCM wanazipuuza mpaka hapo zitakaposema CCm iko juu.
Hata random survey mahali popote unapopita, inaonyesha hivyo. Kwenye shindani la Miss Tanzania (Star TV usiku huu), mmoja ameulizwa utamchagua nani kuwa Rais, akataja Kikwete akazomewa na ukumbi mzima!

So the chemistry and pschology is positive on Dr. Slaa but the time, resources and mazoea viko positive on JK.
 
yap, ni ukweli uliowazi kwamba Slaa anaongoza wengine wanafuata, redt(Dr Bana) na synovate wako kimya wakati hapo kabla walikuwa kimbelembele kutuletea matokeo ya tafiti mfu, tunawasubiri
 
Nakubaliana nawe kwa sehemu. Bado kuna sehemu kubwa za vijijini ambapo mbinu mwamko huu haujafika. Hapa ndipo nashauri wagombea wa ubunge waende maana Dr. Slaa hawezi kufika kila mahali.

Polls zote zinaonyesha hali mbaya kwa CCM japo najua CCM wanazipuuza mpaka hapo zitakaposema CCm iko juu.
Hata random survey mahali popote unapopita, inaonyesha hivyo. Kwenye shindani la Miss Tanzania (Star TV usiku huu), mmoja ameulizwa utamchagua nani kuwa Rais, akataja Kikwete akazomewa na ukumbi mzima!

So the chemistry and pschology is positive on Dr. Slaa but the time, resources and mazoea viko positive on JK.
mkuu hii nayo inaleta faraja
 
Nakubaliana nawe kwa sehemu. Bado kuna sehemu kubwa za vijijini ambapo mbinu mwamko huu haujafika. Hapa ndipo nashauri wagombea wa ubunge waende maana Dr. Slaa hawezi kufika kila mahali.

Polls zote zinaonyesha hali mbaya kwa CCM japo najua CCM wanazipuuza mpaka hapo zitakaposema CCm iko juu.
Hata random survey mahali popote unapopita, inaonyesha hivyo. Kwenye shindani la Miss Tanzania (Star TV usiku huu), mmoja ameulizwa utamchagua nani kuwa Rais, akataja Kikwete akazomewa na ukumbi mzima!

So the chemistry and pschology is positive on Dr. Slaa but the time, resources and mazoea viko positive on JK.

Nilibet kuwa atapata kabla; alipojibu hivyo nikawaambia hapa kuwa kakosa umiss kwa kutokuwa na kichwa cha uelewa; asingetaja jina la Kikwete alikuwa anashinda UMISS yule
 
..... Kwenye shindani la Miss Tanzania (Star TV usiku huu), mmoja ameulizwa utamchagua nani kuwa Rais, akataja Kikwete akazomewa na ukumbi mzima!

Finally upinzani umeaanza kuthaminiwa! watu huishi kwa mazoea, nilimwuliza mke wangu last time: why would you vote for JK? akaniambia basi tu, chama changu! Kimekufanyia nini miaka 5 iliyopita? She was so sincere "Mwenzangu hakuna kitu ni njaa tupu" she replied. Wapo wengi wa namna hii lakini katika mazungumzo yenye kuleta sense tunaweza kuwageuza watu kama hawa, manake my wife she was finally able to see through and realize how fool she has been all this time!
HIYO NI KURA MOJA YA UHAKIKA KWA Dr SLAA.
TUENDELEE KUWALETA!
I hope to see that video clip!
 
Finally upinzani umeaanza kuthaminiwa! watu huishi kwa mazoea, nilimwuliza mke wangu last time: why would you vote for JK? akaniambia basi tu, chama changu! Kimekufanyia nini miaka 5 iliyopita? She was so sincere "Mwenzangu hakuna kitu ni njaa tupu" she replied. Wapo wengi wa namna hii lakini katika mazungumzo yenye kuleta sense tunaweza kuwageuza watu kama hawa, manake my wife she was finally able to see through and realize how fool she has been all this time!
HIYO NI KURA MOJA YA UHAKIKA KWA Dr SLAA.
TUENDELEE KUWALETA!
I hope to see that video clip!
==========

I am told maana sikuangalia mpaka mwisho, kuwa mrembo huyo amekosa U-miss kwa sababu hiyo licha ya kuwa alikuwa amefanya vizuri.
 
Jamaa sasa hivi anakanyaga vijijini tu; round ya pili huenda ataenda mikoani; kabla ya kuanza kukazia sehemu mhimu; kumbuka strategy hii ni ya Obama; MCAIN alishindwa bila kutegemea; kwa jinsi jamaa alivyokuwa anajua kutumia resources na kuzichora kwa ufasaha. nahisi Slaa mpaka sasa vijijini wanamjua sana
 
Dah inapidi tumwombee sana jamani na tuwaombee watanzania wapate ufahamu mkubwa wa kutambua nuru ya ukombozi wa kweli italetwa kwa kufanya maamuzi magumu, na kuna generation shift la vijana ambao lina favour chadema lakini vile vile tunahitaji kura za wanawake ambao wengi watapigia CCM we need a new strategy ku win support kubwa ya akina mama.
 
REDET inaongozwa na mshirika mkuu wa JK anaitwa Prof Mkandara, hawawezi kutoa chochote hapo zaidi ya kujipanga kuwa busy na kutafuta namna ya kuchakachua kura ili waendelee kula nchi ya wanadanganyika kama kawaida yao.

Mkandara ndo Makamu mkuu wa UDSM na ndiyo mwenye mkumpa JK ile slogan ya ari mpya, nguvu mpya nasasa ile ari zaidi, nguvu zaidi. Hapo tegemea tu ukimyaaaa hadi hapo atakapoonekaana JK kushinda ndo utawaona wanaanza kujitokeza kujaziliza, lakini mwaka huu ccm mambo siyo na nimagumu.
 
In my opinion kuiondoa CCM madarakani ama kupata rais asiye wa CCM hapa Tanzania ni sawa na kupata Rais asiye mzungu Marekani. Inawezekana lakini unahitaji extreme factors na pia exceptional candidate kama Obama factor. Kwa sasa hatuna extreme factors (not yet to majority of voters) na wala exceptional candidate.....

Just my opinion....
 
In my opinion kuiondoa CCM madarakani ama kupata rais asiye wa CCM hapa Tanzania ni sawa na kupata Rais asiye mzungu Marekani. Inawezekana lakini unahitaji extreme factors na pia exceptional candidate kama Obama factor. Kwa sasa hatuna extreme factors (not yet to majority of voters) na wala exceptional candidate.....

Just my opinion....

Try to vote for change or rather change you will boost the "extreme factor" and enjoy the Obama factor
 
Ukweli haufichiki, watu wamegarambuka hawajali cha chama wala ndugu yake chama, kuna maeneo ya vijijini kabisa wamesha tamka, kwa kuwa wamempata mgombea wao wa ubunge sahihi na ni wa CCM lakini kwa raisi watampigia Dr. Slaa hapo ndiyo kunahatari ya watu kufa kihoro. Tusubiri tuone ! tuombe uzima tu.
 
Haaaaaaaaaaaaaaah Eeeeeeeeeeeeeeeeeehaaaaaaaaaaaaah. Yaani Dk. Slaa aongoza kwenye kura za maoni. Sawa inawezekana ni kweli. Ndiyo anaongoza kwenye BLOGS ambako wachangiaji Tanzania hawazidi 500. Nenda vijijini uone kama kweli Slaa atapata kura. Ndiyo atapata Karatu, Arusha na kwa Wachaga kwingeneko Moshi. Lakini nikwambie Slaa haweZi kupata kura KagerA, mWANZA, sHINYANGA,mBEYA, zANZIBAR NA MAENEO MENGINE YOTE YA tANZANIA. yAANI JK atavunja rekodi ya kura katika uchaguZi huu. Atapata zaidi ya asilima 90. Kwanini asipate kura hizo wakati upinzani haujajipanga? Wapinzani wanapiga kelele tu, hawana kitu wala jipya. Ni kweli CCM ina matatizo. WanaCCM na wananchi wanajua hivyo. Lakini ni afdhali zimwi likujualo kuliko lile usilolijua. Watanzania ni watu makini. Hawawezi kuchagua chama ambacho mwelekeo wake ni kupendelea maeneo fulani (Arusha na Kilimanjaro) tu ya nchi. CHADEMA wabadilishe mbinu za uongozi. CHADEMA hii kamwe haitachukua nchi.
 
Haaaaaaaaaaaaaaah Eeeeeeeeeeeeeeeeeehaaaaaaaaaaaaah. Yaani Dk. Slaa aongoza kwenye kura za maoni. Sawa inawezekana ni kweli. Ndiyo anaongoza kwenye BLOGS ambako wachangiaji Tanzania hawazidi 500. Nenda vijijini uone kama kweli Slaa atapata kura. Ndiyo atapata Karatu, Arusha na kwa Wachaga kwingeneko Moshi. Lakini nikwambie Slaa haweZi kupata kura KagerA, mWANZA, sHINYANGA,mBEYA, zANZIBAR NA MAENEO MENGINE YOTE YA tANZANIA. yAANI JK atavunja rekodi ya kura katika uchaguZi huu. Atapata zaidi ya asilima 90. Kwanini asipate kura hizo wakati upinzani haujajipanga? Wapinzani wanapiga kelele tu, hawana kitu wala jipya. Ni kweli CCM ina matatizo. WanaCCM na wananchi wanajua hivyo. Lakini ni afdhali zimwi likujualo kuliko lile usilolijua. Watanzania ni watu makini. Hawawezi kuchagua chama ambacho mwelekeo wake ni kupendelea maeneo fulani (Arusha na Kilimanjaro) tu ya nchi. CHADEMA wabadilishe mbinu za uongozi. CHADEMA hii kamwe haitachukua nchi.

Your name tells all. Year 1954; it is now 2010; you're 56; but understand the majority of voters, and their lives affected more are under 40. So please don't estimate what they want; we are used to your theories old buddy; you like me, we have no more time; let us not be selfish; change is iminent!! Dr Slaa for President of URT
 
Hebu tujikumbushe matokeo ya 2005, tulinganishe na pools za mitandao zinavyo maanisha Dr slaa anaweza kufanya wonders gani

Matokeo
Mgombea Chama Kura Asilimia Anna Senkoro PPT Maendeleo 18783 0.17%
Augustine Mrema Tanzania Labour Party 668756 0.75 %
Christopher Mtikila Democratic Party 31083 0.27%
Emmanuel Makaidi National League for Democracy 21574 0.19%
Freeman Mbowe Chama cha Demokrasia na Maendeleo 668756 5.8%
Ibrahim Lipumba Chama cha Wananchi 1,327125 11.68%
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi 9,102,951 80.28%
Dr.Sengondo Mvungi NCCR-Magaeuzi 55819 0.43%
Prof. Leonard Shayo Demokrasia Makini 17070 0.15%
Henry Kyara Sauti ya Umma 16414 0.14%
 
Nakubaliana nawe kwa sehemu. Bado kuna sehemu kubwa za vijijini ambapo mbinu mwamko huu haujafika. Hapa ndipo nashauri wagombea wa ubunge waende maana Dr. Slaa hawezi kufika kila mahali.

Polls zote zinaonyesha hali mbaya kwa CCM japo najua CCM wanazipuuza mpaka hapo zitakaposema CCm iko juu.
Hata random survey mahali popote unapopita, inaonyesha hivyo. Kwenye shindani la Miss Tanzania (Star TV usiku huu), mmoja ameulizwa utamchagua nani kuwa Rais, akataja Kikwete akazomewa na ukumbi mzima!

So the chemistry and pschology is positive on Dr. Slaa but the time, resources and mazoea viko positive on JK.

Damn it! huyo hana uelewa as hakujua kuwa kura ni SIRI yake!
 
Your name tells all. Year 1954; it is now 2010; you're 56; but understand the majority of voters, and their lives affected more are under 40. So please don't estimate what they want; we are used to your theories old buddy; you like me, we have no more time; let us not be selfish; change is iminent!! Dr Slaa for President of URT

Is change iminent? I am not quite sure. It is true the majority of Tanzanians want change, but not from better to worse. The opposition in Tanzania is not credible. They are selfish and childsh. The opposition is not organized. Simple and clear. Suala ni mabadiliko kweli lakini siyo mradi mabadiliko tu. Mimi kamwe siwezi kumpa kura Slaa. I am sure there are milions of Tanzanians who have the same 'mind' or 'opinion' as mine. It is a fact that there is a big problem within CCM and the whole leadership (in Tanzania) in general. Lakini what is the alternative? yaani alternative awe Dk Slaa na CHADEMA' Never on earth. Itabidi tuwe tayari kufungia wake zetu ndani, vinginevyo.... On a serious note we can't leave this country to the dogs. Tunahitaji mabadiliko kuongozwa na watu makini na wenye uchungu na nchi hii, wale wanaojali utu na ubinadamu na wasio wanafiki wala walafi. Hatutaki mabadiliko yaongozwe na watu waliovaa ngozi ya kondoo kumbe ni mambweha ambao wanachukulia matatizo ya sasa kama nyenzo ya kupata madaraka ili nao wafaidi kwa kuwa wana wivu dhidi ya wale wanaofaidi sasa.

Baadhi yetu watanzania hatuko serious kabisa. Tunakazana tu kupiga kelele kwa kuwa tunawaona wengine wanafaidi kwa hiyo na sisi tunataka tufaidi kama wanavyofanya hao wanaofaidi. Tunachukulia sisi kama ajira. Dk. Slaa anachukulia siasa kama ajira kama ilivyo kwa baadhi ya viongozi wetu wengi wa sasa. Siasa, in essence, siyo suala la ajira na kufaidi. Siasa ni suala la uongozi na 'wito' ili kuwaongoza wengine. Sasa sisi Watanzania tumechukulia kuwa siasa ni ajira na ndiyo maana hundrends of us tunataka kuwania ubunge na udiwani ili tuweze 'kula' na siyo kutumikia nchi au wananchi. IT IS PITTY.......TANZANIA MY BELOVED COUNTRY. Tumebaki kuwa taifa la wapiga kelele la walalamikaji, kama ninavyofanya mimi kwa blog hii na wengine wengi wanaotaka mabadiliko lakini bila dhamira ya kweli.
 
Hebu tujikumbushe matokeo ya 2005, tulinganishe na pools za mitandao zinavyo maanisha Dr slaa anaweza kufanya wonders gani

Matokeo
Mgombea Chama Kura Asilimia Anna Senkoro PPT Maendeleo 18783 0.17%
Augustine Mrema Tanzania Labour Party 668756 0.75 %
Christopher Mtikila Democratic Party 31083 0.27%
Emmanuel Makaidi National League for Democracy 21574 0.19%
Freeman Mbowe Chama cha Demokrasia na Maendeleo 668756 5.8%
Ibrahim Lipumba Chama cha Wananchi 1,327125 11.68%
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi 9,102,951 80.28%
Dr.Sengondo Mvungi NCCR-Magaeuzi 55819 0.43%
Prof. Leonard Shayo Demokrasia Makini 17070 0.15%
Henry Kyara Sauti ya Umma 16414 0.14%

Hii ni 2010 Paulss. kumbuka popularity ya JK 2005 siyo ya 2010. subiri early november kupata matokeo
 
Back
Top Bottom