- Thread starter
- #81
Slaa ni kiongozi wa Watanzania wote
Vyombo vya habari vya Kenya vimesema ni Nyota wa Afrika.
Slaa ni kiongozi wa Watanzania wote
Njia ya waongo fupi.
Vyombo vya habari vya Kenya vimesema ni Nyota wa Afrika.
Omba omba utamjua tu hata kwa maandishi toka akilini mwake.Fanyeni kazi acheni kutemea kuomba ndiyo CCM imetuuza .
Utake usitake utamkubali Slaa tu. Vinginevyo una spirit ya KICHAWI
Kama haitawaliki basi babu alienda Marekani kutafuta hifadhi ya kikimbizi
Kwa kulifahamu hilo ndio maana babu daily anaweweseka mara utamsikia..."oooh hii nchi haitawaliki","tutaandamana mpaka kieleweke" + matamko mengi yasiyokuwa na tija huku CCM na serikali yake ikizidi kujikita katika mioyo ya watanzania.
Hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.Misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.Na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.Hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa CHADEMA.Hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.Saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.Take it from me CHADEMA isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.CHADEMA misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.
Si ajabu pamoja na matusi haya uliponyeshwa Fistula kwenye hospitali ya CCBRT.Huna hata shukrani.
kichwa kichwa kichwa! Magamba mpo!!!daa mtake msitake huy jamaa ni great! Bila shaka wazungu wameelewa kuwa tz bado kuna vichwa maana walizoea kuyaona magamba yakitabasamu bila point! Bravo sana dr slaa wa ukweli!!!
Shukurani kwa mtu anayechukua dhahabu anakuletea net za mbu, ujinga.Slaa ndio hana hata shukrani kwa wafadhili wanaotoa pesa za kuendeshea CCBRT kusema hataki hela za wafadhili wakati anajua kuwa bajeti ya CCBRT inategemea wafadhili ni kwenda kuhutubia uwongo asioufanyia kazi.Slaa kichwa chake hakijatulia au washauri waliomsaidia kuandika hotuba ni mabomu au watunga sera za Chadema mmewachukua watoto wa mwaka wa kwanza vyuo vikuu.
Mwongo ni yule aliyekuahidi Mahakama ya Kadhi. Ukachekelea kama zuzu. Ukala pilau lake. Mwishowe kakuchinjia baharini. Hakuna kadhi wala dalili ya kadhi...dadeki!
Na ndio sifa ya kiongozi anaefaa kuliongoza taifa la watanzania bila kujali imani ya kidini,rangi,ukanda wala kabila.Na kwa kukosa sifa hizo Chadema hawatokuja kuliongoza taifa la Tanzania milele kwa kuwa tunawafahamu na dhamira waliyoibeba inatambulika.JK ni kiongozi wa taifa la watanzania kwenda kanisani kushiriki na watanzania wenzake katika ibada wala sio tatizo.Lakini jiulize kama ingetokea padri Slaa watanzania wangejaribu kumpa uongozi wa nchi angeshirikiana na watanzania wenzake wenye imani tofauti na yeye?
Slaa ndio hana hata shukrani kwa wafadhili wanaotoa pesa za kuendeshea CCBRT kusema hataki hela za wafadhili wakati anajua kuwa bajeti ya CCBRT inategemea wafadhili ni kwenda kuhutubia uwongo asioufanyia kazi.Slaa kichwa chake hakijatulia au washauri waliomsaidia kuandika hotuba ni mabomu au watunga sera za Chadema mmewachukua watoto wa mwaka wa kwanza vyuo vikuu.
Hapa simzungumzii Dr Slaa.Nakuzungumzia wewe ulipona Fistula pale CCBRT?
Mtoa hoja hii sina wasiwasi dalili zote zinaonyesha kuwa unaumwa Fistula ya kiume na ni mgonjwa wa kiume wa kwanza kumwona.
Sorry ilikuwa ni typing errors Labda nikuulize swali,Hivi na wewe unaweza kuthubutu mbele za watu wenye akili timamu ukamfananisha Dr Slaa na Mwalimu?
Ha ha haaa Ben bana leo wanafiki wako Iringa wanazima msukule wao,Leo ni siku ya wanafiki kumuenzi Nyerere
Ameshamaliza honeymoon anachorudinacho ni picha na begi kubwaaa la toy za junior