Wakti wa kampeni za urais Dr. Slaa alitushauri waz-tz tusimchague JK. na kama hatumtaki yeye basi angalau tuchague hata Li-PUMBA! na endapo tutamchagua JK basi tutambue tumeingia katika matatizo.
hivi sasa petrol shida, umeme shida, shilingi inaekea kaburini, sukari usiseme,
Je kwa nini tusimwite Dr. Slaa kuwa ni mtume/nabii?
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
si Mlimchagua eti kisa ana sura nzuri haya sasa tule sura yake!
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
Kumbe Dr Slaa, ni Mtume!
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
Mimi nakumbuka Dr slaa alipokuwa anafunga anamalizia kampeni kwa mdahalo pale Movenpick 2010 alisema "kuendelea kuichagua ccm ni maafa" naya kumbuka sana maneno yake kila nikisikia watu wakilalamikia ugumu wa maisha na mfumuko wa bei.
niwekee hapa vitambu na machapisho ya dr wa ukweliMkuu nina dvd yake ya mdahalo mzima nikirudi jioni nitaiangalia tena nimskia dr wa ukweli akimwaga nondo. Kwenye hiyo Cd alimlipua sana Jk na alibainisha wazi kuwa aliyoyasema yote ya kweli kuwa Jk alikuwemo kwenye ile list of shame.
watanzania ni sikio la kufa sasa tukome ..ndo maana tunaambiwa na hata israel kuwa ni nchi isiyo na umuhimu
JK aliteuliwa na tume ya uchaguzi NEC na si wananchi...watz si vilaza kihivyo!
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
watu walisukumwa zaidi na uchama, na chama ndo kinaelekea kutufinito