IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Kila Dhambi ina Mshahara wake....
Wakti wa kampeni za urais Dr. Slaa alitushauri waz-tz tusimchague JK. na kama hatumtaki yeye basi angalau tuchague hata Li-PUMBA! na endapo tutamchagua JK basi tutambue tumeingia katika matatizo.
hivi sasa petrol shida, umeme shida, shilingi inaekea kaburini, sukari usiseme,
Je kwa nini tusimwite Dr. Slaa kuwa ni mtume/nabii?
Mimi nahamia tripolitania
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
Wakti wa kampeni za urais Dr. Slaa alitushauri waz-tz tusimchague JK. na kama hatumtaki yeye basi angalau tuchague hata Li-PUMBA! na endapo tutamchagua JK basi tutambue tumeingia katika matatizo.
hivi sasa petrol shida, umeme shida, shilingi inaekea kaburini, sukari usiseme,
Je kwa nini tusimwite Dr. Slaa kuwa ni mtume/nabii?
Ww nenda kanye! uchambe alafu uje uchangie!!!!
tuache lawama zisizo na msingi na sifa za kijinga.slaa hawezi kuwa nabii,ana usafi gani wakati amepora/anatembea na mke wa mtu pili hali ya uchumi kuwa mgum inasababishwa zaid na external force,uchumi wa mataifa makubwa km US na UK umeyumba na una direct impact kwetu.kwa hiyo acheni kuhadaa watu.
NDIYO. Na bado tunawahitaji ma-handsomeboyz ndo wachukue 2015!
Si kweli kuwa watz walimpuuza Dr. wa ukweli bali walimpa kura za kutosha kwenda ikulu ila yaliafanyika mapinduzi, ndiyo ikaitwa siyo. Alaaniwe Jaji Lewis Makame, NEC, TISS,JWTZ, POLISI kwa kuwezesha mapinduzi haya.
Utume?????, majaribu yalimzidi nguvu, alipewa ushauri wa kutomega kazi ya mtu akapuuza. Sasa kulalama kwa nini?Kumbe Dr Slaa, ni Mtume!
Sasa kama mlikubali nec ndio muamuzi wa mwisho mnapayuka nini kila siku, tulizeni ball, na bado, mpaka tuheshimiane tu....hata hivyo tulimchagua ila nec wakamtangaza jk
Utume?????, majaribu yalimzidi nguvu, alipewa ushauri wa kutomega kazi ya mtu akapuuza. Sasa kulalama kwa nini?
Huyu mzee naona hatuna haja tena ya kumjadili. Keshaisha kisiasa. Naona siku hizi yupo busy na facebook tu, kila baada ya lisaa anaupdate status...mbaya zaidi hapati wachangiaji wala likes!!Jamaa muanzisha thread hii kaenda mbali zaidi kasema eti tumuite Mtume/Nabii..Magwanda wote wamekubaliana na huu upuuzi aisee! Hizi ni akili za kunguru mgonjwa
duh, yaani kumbe DR. Slaa hakuwa anashindana na kikwete pekee bali vyombo vyote hivi vya dola- aisee shughuli pevu mno...
kweli Rejao ni makalio ya bi kizee, wakati watu wanajdili mambo ya maana yeye anakuja na upumbavu wake huu!Huyu mzee naona hatuna haja tena ya kumjadili. Keshaisha kisiasa. Naona siku hizi yupo busy na facebook tu, kila baada ya lisaa anaupdate status...mbaya zaidi hapati wachangiaji wala likes!!
Cha moto tunakiona jamani, Hivi hakuna njia mbadala ya kumtoa madarakani huyu mtu? Hivi rasilimali kibao zinaliwa na watu wachache tu, huku wananchi tumeachwa na mashimo. Kweli inatia uchungu.