Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
- Mkulu Gembe, heshima mbele sana, tatizo ni kwamba utafukua mengi sana kwa mfano hii barua ya Masha kwa waziri mkuu, ninajua kuwa imelikishwa kwa makusudi na hao hao tuliowakabidhi dhamana ya kulinda sheria zetu,
- Again huwezi kuwa na maelezo ya kutosha kuhusu ni wapi magazeti ya Mengi yanapata habari nyeti nyingi za uporaji mali wa Mkapa na zingine mbali mbali, sasa tumefikia mpaka mawaziri kurekodiwa kwenye vikao muhimu vya serikali, sasa uta-draw wapi the fine line ya kamata kamata na siri za serikali?
Serikali yetu ya sasa sio siri ina matatizo makubwa sana na utunzaji wa nyaraka za serikali, infact sio vibaya kuiita ni Banana Republic, maana mimi sijawahi kuona mambo ya ajabu kama ya hii serikali, I mean haina siri tena kuna wanazozivujisha wenyewe na ambazo hawana control nazo kabisa,
Sasa ukimkamata Dr. Slaaa then utaishia kuikamata serikali nzima, ndio maaan hawawezi hilo, na besides DR. Slaaa analisaidia taifa zima na hizi nyaraka, na hata sometimes serikali yenyewe, sasa unaona ni kwa nini hii ni Banana Republic?
Mkuu nadhani umeona mbali sana, ukweli ni kuwa kuna kina Slaa wengi ndani ya CCM,Serikali na kwenye upinzani wanaoitakia mema Tanzania. Kwa hiyo kama kamatalamata ikianza basi hakutakuwa na nafas ya kuwaweka waliokamatwa.
ingawa kuvuja kwa siri hizi kunaonesha kuwa watanzania si mabwege tena, na kunaonesha kuwa wazuri serikalini wamechoka na ujinga unaofanyika na kuufanya siri, nakubali ni kama kuiendesha serikali kitoto. Lakini pia it is a blessing in disguise, tunajuaviongozi wetu wanafanya nini. This time hata ukimuuliza mtoto kwanini nchi etu haiendelei atajua sababu, sio kama zamani lawama zooote zilikuwa kwa mwingereza.
Mkuu umenifurahisha sana kuiita nchi yako Jamhuri ya ndizi.