Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wewe unaongea pumba hapa? keshawashika pabaya ndio maana unapayuka payuka hapa.gadafi mwenyewe kawa dikteta kwa zaidi ya miaka 40 lakini sasa hivi keshakalia kuti kavu watu wanampulizia upupu tu sasa ivi ...next is ccmHeshima Mbele,
Mhe. Dr. Slaa anahitajika kukamatwa na Vyombo vya sheria hasa baada ya kuwa na Nyaraka ambazo ni siri za Serikali alizozipata kutoka wizara ya Mambo ya Ndani.Tunatambua ni kosa kisheria kwa Mtanzania yeyote kuwa na nyaraka za siri za serikali.
Nchi hii inaongozwa kisheria,na tumekuwa tukipigania hili siku zote .Kwa mtazamamo wangu Naona kuna haja ya Dr. Slaa kuhojiwa hata kukamtwa kwa kumiliki nyaraka za serikali!