Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
1. kwa jinsi cdm wanavyofanya mikutano yake na kuahamasisha watu kuichukia serikali
Je DR Slaa na Cdm wanafanya UHASI kwa serikali
Je wakamatwe wafungwe?
2. Wakati Dr Slaa akiwa mwanza aliongelea kuwa Dowans ilimumilikisha Rostam Aziz
akaongelea kuhusu kesi ya ICC ambayo iko mahakamani
Je Dr Slaa hajavunja sheria/katiba ya nchi? kwanini asikamatwe na kufungulia mashitaka?
Nawakilisha
Chui aliyevaa ngozi ya Kondoo utamjua tu!