The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,455
- 13,083
Maudhi mengine Bwana, Siasa ni uchafu, inanuka kero tupu. Sasa sijui Mbowe kshikishwa na CCM? Kama una akili timamu huwezi kumuachia Dr.Slaa agombee Uraisi huku ukijua hatashinda matokeo yake Bunge litasinzia, litabaki halina msisimko.
Sleep away my friend!!! Hivi unafikiri wale jamaa Uyole waliomrushia mawe JK wameshamsamehe??? Safari hii ngoma kwisha kwa SISIEM unless waalete yale mazingaombwe yao ya ZNZ.