IGP Mwema anateuliwa na Rais ambaye ni shemeji, na Dr. Nchimbi anateuliwa na Rais ambaye ni best friend na mkampeni wake mkuu 2005. Sasa ni nani zaidi kati ya hawa wawili? For a fair game, wote waondoke!!
mkuu hata mimi nimeshindwa kuamini inawezekana huko wizarani kuna tatizo kubwa.! Halafu Nchimbi inaonekana mwepesi sana.!
Nchimbi ameunda tume,
IGP meunda tume
Waandishi wa habari wameunda tume independent
Sasa tuone kila tume itakuja na matokeo gani. Inasikitisha lakini inachekesha kama movie vile
Ni kweli hayo maneno ni 80% Nchimbi kayasema,nimesikia clouds fm kwa kauli yake mwenyewe na si kuwekewa maneno
Nchimbi ameunda tume,
IGP meunda tume
Waandishi wa habari wameunda tume independent
Sasa tuone kila tume itakuja na matokeo gani. Inasikitisha lakini inachekesha kama movie vile
Huyu NCHIMBI anafikiri polisi nayo inatenda kazi kisiasa kwa kuongea hadharani tu. Inawezekana IGP amechanganyikiwa na maelekezo ya kipuuzi anayopewa na viongozi wake wa kisiasa serikalini huku akijua ni kinyume cha taratibu za jeshi la polisi.
Mkuu Mwita,heshima yako.
Napenda kujua haya kayasema wapi na lini.
This is great contradiction and hypocricy.
Waziri wa mambo ya Ndani Dr. Nchimbi, Amshangaa IGP kwann mpaka sasa Dr. Slaa hajakamatwa kwa uchochezi mara baada ya kumtumia IGP mwema sms anazoziita za uchochezi na mpaka sasa Dr.Slaa anaendelea kuranda randa mjini na IGP kakaa kimya na amedai anamashaka na itendaji wake wa kazi kama kiongozi wa jeshi la polisi.
Ameendelea kusema haiwezekani wasababishe mauwaji na waendelee kufanya mazungumzo na amesema kaunda tume na wananchi watarajie kufanyiwa kazi ripoti itakayotolewa.
Wakati huo huo Mh John Mnyika kadai kama wa kukamatwa ni Dr. Bilali aliyekwenda kufanya kampeni wakati wao Chadema walikutana katika shughuri za kichama na kufungua tawi
Hii post si inafanana na nyingine iliyotumwa muda mchache uliopita? Watu wengine bwana.
Nchimbi anaugua ugonjwa gani? Hapo kwenye red it is obvious tayari ana conclusion sasa tume ya nini? Kwa nini anatumia kodi ya wananchi kufanya kazi ambayo tayari ana majibu?
Amepatwa na ugonjwa wa kuweweseka maana anajua kuwa yeye ndiye anatakiwa kuachia ngazi.
He is diverting the truth for a short while.
It will backfire for sure