Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Inawezekana niko biased sijui prejudiced. Mara nyingi nimekuwa nikisikia watu wakisema chama si kibaya bali watu ndio wenye matendo mabaya, Nisemehe tu ndugu yangu mimi nimeshindwa kabisa kutofautisha watu na chama. Sifurahii ugonjwa nasisitiza kusema wacha mfumo waliouweka ufanye kazi waliyoitaka hata kama huo mfumo utawaathiri waliouweka. Ingawa haikuwa lengo lao uwaaathiri wenyewe angalau basi wajue ubaya wa mfumo wao kwa wale waliowawekea
waeleze...wataokota kwenye nyavu wenyewe