Dr. Mwakyembe arejea Bungeni

Wewe huna data bora ukae kimya. Umeniacha hoi kwamba kwasababu mwakalinga ni engineer basi ndiye mimi engineer.
Hapa kwa kweli nilichemka muzee!

Balaa lingine lilitokea jana, vile vyakula vya misaada vilivyotolewa kwa ajili ya mafuriko Kyela jana vilimwagwa na wafuga nguruwe kujizolea. Inasemekana hiyo misaada ilifichwa na hiyo NGO ya jamaa zake Mwakyembe ambao alikuwa anawatumia kugawa misaada. Badala yake walikuwa wanatumia chakula hicho kuwalisha wafanyakazi wanaofanya kwenye kampuni yao binafsi ya ujenzi. Matokeo yake wameshindwa kumaliza mpaka unga umeoza huku wananchi wengi walilalamika wakati ule kwamba hawakupata chakula cha misaada. Mwulizeni Dr wenu vipi alikuwa busy na Richmond mpaka wajanja wana abuse misaada?
Engineer, hapa hujaweka hamira na chumvi? endelea kutuhabarisha tutakuwa tunachangua mchele na pumba ......hii Kyela inaelekea ni balaa 2010, asiye na mwana atafute jiwe bado mapema!
 
Masa,

Kama nilivyosema. Engineer ana datas nyingi sana ila uandishi wake wakati mwingine anapitiliza. Zile datas alizoweka za Mwakalinga kwa kweli naona anafanya homework yake vizuri ingawa kuna mengine naona hayafahamu bado.

Engineer, acha kwanza kumwaga datas za GAM maana jamaa hajawa public figure bado. Sasa hivi yeye ni raia wa kawaida tu wa Tanzania ambaye anaishi na kufanya kazi zake UK ndani ya mji wa ..... (Mji sitaji, kwi kwi kwiii).
Kama akitangaza kuja kugombea ubunge wa Sikonge au Kyela au cheo chochote kile basi hapo ndipo tutamuanika ubaya na uzuri wake (ila mnisamehe, mie mabaya yake ntampa live akifika hapa Sikonge).
 
Back
Top Bottom