Kyela wamekwisha kwelikweli. Kumbe kelele zote hizi za kumsulubu Mwakyembe, mtu aliyewanyua juu kwenye chati ni fedha za Lowassa na Rostam! Duh ama kweli EPA na RICHMOND ni kiboko! Hata hivyo huyu mgombea wa Kyela kutoka London, asiwaumbue BANYAMBALA wa Kyela kwa kumfuatafuata Lowassa mpaka nyumbani kwake. Hajasikia yaliyomkuta yule Mbunge wa Kigoma, nanihii.... nanihii ......?
Fataki..lowassa ni mojawapo ya kampeni za dr. lakini ninawasiwasi kama inaweza kusaidia kule kijijini..Kijijini uko watu wamemchoka ile mbaya sijuhi kwanini.Siku moja nilichukua taxi..Jamaaa akawa anamponda tumemfanyia kampeni anaenda kumpa kazi shemeji yake mchagga inamaana hatuamini wadogo wake kumwendesha? Ila na mimi nikajiuliza hii ni siasa na yeye imekuwaje ameshindwa kutafuta kijana uko uko kwao?Kweli siasa ngumu