Dr. Mwakyembe arejea Bungeni

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Naomba msaada wenu waliokaribu na Dr. Mwakyembe, tangu Bunge hili la bajeti lianze sijamuona.Je yupo Bungeni? au bado anaumwa?
 
Last edited by a moderator:
bado anapumzika home baada ya ajali. Kulikuwa na mpango wa kusafiri nje for intensive checkup.
 
Kwa kuwa anaweza kuandika, naamini kuwa mchango wake kwq hotuba ya bajeti ameshauwasilisha kwa maandishi. Mliopo bungeni tutafutieni amesema nini
 
katika pitapita zangu sijamwona. . .probably bado analikizo ya ugonjwaand of course anajipanga upya
 
Jamani Mwakyembe tumemmis sasa hoja ya Richmond itakuwaje?Mpeni pole mpiganaji huyu na Mungu amponye haraka awepo kwenye mjadala wa Wizara ya Nishati na Madini.
 
Mh.Mwakyembe naomba uendelee kuchangia kwa maandishi hata ukiwa nyumbani,mchango wako Bungeni ni muhimu sana.Mungu akubariki.
 
Bado anajiuguza...maana ile kosa kosa haikuwa ya kawaida.......anapumzika
 
Habari nilizozinasa hapa ni kwamba kuna mpango unasukwa kwa kushirikiana na spika Sitta. Mbunge Mwakyembe ataenda bungeni mara moja na kupokewa na wabunge na kisha ataaga na kwenda Kyela kupokewa na wananchi kwa maandamano; muda wote ataongozana na waandishi habari wa Mengi. Hapa wanasema maandamano yatakuwa ya kumpongeza kwa kuwazidi kete mafisadi waliotaka kumwua kwa ajali ya lori.

Ila kuna tatizo moja maana sasa wananchi wa Kyela wameshaanza kuelewa usanii wa mbunge wao. Kuna watu wana wasiwasi hilo zoezi linaweza kuishia kwenye kuzomewa kwake.

Kila siku kuna vikao jioni kujadili namna ya kufanikisha maandamano hayo. Wacha watuletee pesa na sisi tutaenda na mabango yetu! Tukijua siku tutawaambieni, hata wakishutuka na kuahirisha tutawaambieni pia.

Vinginevyo vurugu zote za uchaguzi huku Kyela zimetulia sana labda ni calm before the storm. Kukiwa na mambo ya huku mimi nitaendelea kuwaletea habari. Hao akina Shalom hawanitishi maana hawana data, wapige boksi USA, muda wa kukusanya data za Kyela watautoa wapi? Wanachoishia kufanya ni kuongea na mheshimiwa ambaye naye anawajaza pumba kama zile za nilikuta shule mbili za sekondari.
 
Habari nilizozinasa hapa ni kwamba kuna mpango unasukwa kwa kushirikiana na spika Sitta. Mbunge Mwakyembe ataenda bungeni mara moja na kupokewa na wabunge na kisha ataaga na kwenda Kyela kupokewa na wananchi kwa maandamano; muda wote ataongozana na waandishi habari wa Mengi. Hapa wanasema maandamano yatakuwa ya kumpongeza kwa kuwazidi kete mafisadi waliotaka kumwua kwa ajali ya lori.

Ila kuna tatizo moja maana sasa wananchi wa Kyela wameshaanza kuelewa usanii wa mbunge wao. Kuna watu wana wasiwasi hilo zoezi linaweza kuishia kwenye kuzomewa kwake.

Kila siku kuna vikao jioni kujadili namna ya kufanikisha maandamano hayo. Wacha watuletee pesa na sisi tutaenda na mabango yetu! Tukijua siku tutawaambieni, hata wakishutuka na kuahirisha tutawaambieni pia.

Vinginevyo vurugu zote za uchaguzi huku Kyela zimetulia sana labda ni calm before the storm. Kukiwa na mambo ya huku mimi nitaendelea kuwaletea habari. Hao akina Shalom hawanitishi maana hawana data, wapige boksi USA, muda wa kukusanya data za Kyela watautoa wapi? Wanachoishia kufanya ni kuongea na mheshimiwa ambaye naye anawajaza pumba kama zile za nilikuta shule mbili za sekondari.

Nawe unalako na Mwakyembe si useme tu?

Lakini ukweli unabaki pale kwamba Muumba alimuepusha hayo mauti ya kupangwa!

Mungu azidi kukujalia afya Dr. urudi uwanjani kwa nguvu mpya hadi mafisadi wazimie.
 
Habari nilizozinasa hapa ni kwamba kuna mpango unasukwa kwa kushirikiana na spika Sitta. Mbunge Mwakyembe ataenda bungeni mara moja na kupokewa na wabunge na kisha ataaga na kwenda Kyela kupokewa na wananchi kwa maandamano; muda wote ataongozana na waandishi habari wa Mengi. Hapa wanasema maandamano yatakuwa ya kumpongeza kwa kuwazidi kete mafisadi waliotaka kumwua kwa ajali ya lori.

Ila kuna tatizo moja maana sasa wananchi wa Kyela wameshaanza kuelewa usanii wa mbunge wao. Kuna watu wana wasiwasi hilo zoezi linaweza kuishia kwenye kuzomewa kwake.

Kila siku kuna vikao jioni kujadili namna ya kufanikisha maandamano hayo. Wacha watuletee pesa na sisi tutaenda na mabango yetu! Tukijua siku tutawaambieni, hata wakishutuka na kuahirisha tutawaambieni pia.

Vinginevyo vurugu zote za uchaguzi huku Kyela zimetulia sana labda ni calm before the storm. Kukiwa na mambo ya huku mimi nitaendelea kuwaletea habari. Hao akina Shalom hawanitishi maana hawana data, wapige boksi USA, muda wa kukusanya data za Kyela watautoa wapi? Wanachoishia kufanya ni kuongea na mheshimiwa ambaye naye anawajaza pumba kama zile za nilikuta shule mbili za sekondari.

You can always read between the lines kati ya pumba na mchele!Sasa hii ni pumba tupu, tena ya kupeperushwa.
 
"
"Habari nilizozinasa hapa ni kwamba kuna mpango unasukwa kwa kushirikiana na spika Sitta. Mbunge Mwakyembe ataenda bungeni mara moja na kupokewa na wabunge na kisha ataaga na kwenda Kyela kupokewa na wananchi kwa maandamano; muda wote ataongozana na waandishi habari wa Mengi. Hapa wanasema maandamano yatakuwa ya kumpongeza kwa kuwazidi kete mafisadi waliotaka kumwua kwa ajali ya lori"

ni vyema mtu mzima ukatafakuli kabla ya kutoa hoja wenzio leo bungeni wenye mawazo kama yako na wanaozungumza kabla ya kutafakuli wanaishia kulaaniwa bungeni na wengine leo wameambiwa wanazungumza hovyo hovyo wamebaki kufura kwa hasira lakini ndo ukweli wenyewe na wewe "hovyo hovyo"
 
Wana JF tangu Bunge la Bajeti mwaka huu lianze sijamwona wala kumsikia Mh. Harisson Mwakyembe? Vipi bado anaumwa tangu apate ajali? Naomba wenye habari anihabarishe!
 
Vita thidi ya ufisadi hawezi kutetewa na watu walewale na wamo ndani ya mfumo uleule, samaki mmoja akioza wote wameoza
 
Wana JF tangu Bunge la Bajeti mwaka huu lianze sijamwona wala kumsikia Mh. Harisson Mwakyembe? Vipi bado anaumwa tangu apate ajali? Naomba wenye habari anihabarishe!
Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selellii
sponsor wake ni Mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!
 
Nilikuwa Kyela hivi karibuni ,na yanasemwa mengi sana kuhusu hatma ya Dr Mwakyembe kisiasa!

Kuna habari kule kuwa eti yatakayomkuta kwenye kura za maoni Dr Mwakyembe yatatushangaza wengi sana.Kijana toka UK anarudishwa na wenye chama kuja kula bata!

Dr kawasumbua sana wazee labda atagombea kama mgombea binafsi kama serikali itapigwa mweleka kwenye rufaa yao,likely hata yeye analijua hilo,who knows?
 
Vita thidi ya ufisadi hawezi kutetewa na watu walewale na wamo ndani ya mfumo uleule, samaki mmoja akioza wote wameoza

Haiwezi kutetea vilevile na CCMB!!!


Leo natafuta kuku nambanika, kufurahia hizi comment zenu! watanzania wakiambiwa wavivu kufikiri huwa hawaelewi, sija na kamwe sitamuona Mwakyembe kuwa shujaa ndani ya CCM ile ile ya kifisadi tuliowajaribu miaka 40 wapi! bado tuko jangwani!
 
Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selellii
sponsor wake ni Mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!


Wewe ndio hamnazo kweli, Mengi ni mkatoliki? Kwani kinachoikuuma Mengi kuwa sponsor anyhow ni nini haswa?
 
Back
Top Bottom