Habari nilizozinasa hapa ni kwamba kuna mpango unasukwa kwa kushirikiana na spika Sitta. Mbunge Mwakyembe ataenda bungeni mara moja na kupokewa na wabunge na kisha ataaga na kwenda Kyela kupokewa na wananchi kwa maandamano; muda wote ataongozana na waandishi habari wa Mengi. Hapa wanasema maandamano yatakuwa ya kumpongeza kwa kuwazidi kete mafisadi waliotaka kumwua kwa ajali ya lori.
Ila kuna tatizo moja maana sasa wananchi wa Kyela wameshaanza kuelewa usanii wa mbunge wao. Kuna watu wana wasiwasi hilo zoezi linaweza kuishia kwenye kuzomewa kwake.
Kila siku kuna vikao jioni kujadili namna ya kufanikisha maandamano hayo. Wacha watuletee pesa na sisi tutaenda na mabango yetu! Tukijua siku tutawaambieni, hata wakishutuka na kuahirisha tutawaambieni pia.
Vinginevyo vurugu zote za uchaguzi huku Kyela zimetulia sana labda ni calm before the storm. Kukiwa na mambo ya huku mimi nitaendelea kuwaletea habari. Hao akina Shalom hawanitishi maana hawana data, wapige boksi USA, muda wa kukusanya data za Kyela watautoa wapi? Wanachoishia kufanya ni kuongea na mheshimiwa ambaye naye anawajaza pumba kama zile za nilikuta shule mbili za sekondari.
Habari nilizozinasa hapa ni kwamba kuna mpango unasukwa kwa kushirikiana na spika Sitta. Mbunge Mwakyembe ataenda bungeni mara moja na kupokewa na wabunge na kisha ataaga na kwenda Kyela kupokewa na wananchi kwa maandamano; muda wote ataongozana na waandishi habari wa Mengi. Hapa wanasema maandamano yatakuwa ya kumpongeza kwa kuwazidi kete mafisadi waliotaka kumwua kwa ajali ya lori.
Ila kuna tatizo moja maana sasa wananchi wa Kyela wameshaanza kuelewa usanii wa mbunge wao. Kuna watu wana wasiwasi hilo zoezi linaweza kuishia kwenye kuzomewa kwake.
Kila siku kuna vikao jioni kujadili namna ya kufanikisha maandamano hayo. Wacha watuletee pesa na sisi tutaenda na mabango yetu! Tukijua siku tutawaambieni, hata wakishutuka na kuahirisha tutawaambieni pia.
Vinginevyo vurugu zote za uchaguzi huku Kyela zimetulia sana labda ni calm before the storm. Kukiwa na mambo ya huku mimi nitaendelea kuwaletea habari. Hao akina Shalom hawanitishi maana hawana data, wapige boksi USA, muda wa kukusanya data za Kyela watautoa wapi? Wanachoishia kufanya ni kuongea na mheshimiwa ambaye naye anawajaza pumba kama zile za nilikuta shule mbili za sekondari.
"Habari nilizozinasa hapa ni kwamba kuna mpango unasukwa kwa kushirikiana na spika Sitta. Mbunge Mwakyembe ataenda bungeni mara moja na kupokewa na wabunge na kisha ataaga na kwenda Kyela kupokewa na wananchi kwa maandamano; muda wote ataongozana na waandishi habari wa Mengi. Hapa wanasema maandamano yatakuwa ya kumpongeza kwa kuwazidi kete mafisadi waliotaka kumwua kwa ajali ya lori"
ni vyema mtu mzima ukatafakuli kabla ya kutoa hoja wenzio leo bungeni wenye mawazo kama yako na wanaozungumza kabla ya kutafakuli wanaishia kulaaniwa bungeni na wengine leo wameambiwa wanazungumza hovyo hovyo wamebaki kufura kwa hasira lakini ndo ukweli wenyewe na wewe "hovyo hovyo"
Haiwezi kutetea vilevile na CCMB!!!Vita thidi ya ufisadi hawezi kutetewa na watu walewale na wamo ndani ya mfumo uleule, samaki mmoja akioza wote wameoza
Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selelliiWana JF tangu Bunge la Bajeti mwaka huu lianze sijamwona wala kumsikia Mh. Harisson Mwakyembe? Vipi bado anaumwa tangu apate ajali? Naomba wenye habari anihabarishe!
Vita thidi ya ufisadi hawezi kutetewa na watu walewale na wamo ndani ya mfumo uleule, samaki mmoja akioza wote wameoza
Haiwezi kutetea vilevile na CCMB!!!
Anatagemea kugombea 2015, kampeni meneja wake ni Sitta na selellii
sponsor wake ni Mengi ili apate biashara nyingi zaidi za kifisadi
sponsor aliyejificha "kanisa katoliki" ili ipate misamaha ya kodi!!