Hongera mbunge mtarajiwa
Huyu alikuwa President wa Daruso mwaka 2000 na alifanya vizuri sana.
Akiwa A level Minaki pia alikuwa kiongozi.
Akiwa mwalimu UDSM amekuwa kiongozi wa UDASA ambao ni Umoja wa Wahadhiri wa UDSM (Vice Chairman).
Hizi zote ni nafasi za kuchaguliwa na watu.
Uongozi uko damuni mwake na pote alipowekwa kuwa kiongozi ali deliver.
Afanye kazi mwajiri wake aliomtuma, sio kuiba muda wa mwajiri wake kushinda JF na kupika majungu ya chademu.