NZI na NYUKI hufa kwa kulazimisha kupenya kwenye kioo angavu, ndivyo watakavyoangamia WALIMU, WAFANYAKAZI wengine na WAKULIMA wanaolazimisha kutimiza NDOTO zao kupitia CCM.Sasa tuko kwenye kampeni rasmi dhidi ya CCM 2015, waliingia kwa mbinu watatoka kwa mbinu kama Dr DALALI KAFUMU leo ametoka kwa mbinu.