Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Heshima Mbele,
Nipo Hapa Nairobi toka juzi kwa shughuli maalum ya kidunia,na nimebahatiaka kusoma katika magaeti ya hapa kukwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete atapewa shahada ya heshima(shahada ya udaktari wa sheria katika chuo kikuu cha kenyatta).
Mtu mwingine atakayepewa ni rafiki yangu wa siku nyingi Makamu wa Rais wa Kenya.
Hivyo kuanzia Leo,Mkulu,Muungwana atakuwa akiitwa
Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Hongera Mkwere na na nakupongeza sana mhe. ais wa taaifa hili.Na nakushauri kw akupewa heshima hii basi wape watazania Maisha Bora ambayo uliwahaidi(Special request)!
Najua ulishaamua kuwakataa Mafisadi kwa staili flani ila nisaidie katika hili pia.Watu wanalia na wana nja kali sana na kama ikiwezekana fanyia kazi yale maneno ya Mchungaji na Mzee Mwanakijiji.
Kwa kupongeza zaidi naomba utuondolee Mataka pale ATCL na afunguliwe Mashataka kwa kuliingiza taifa katika mzigo mkuwba wa Madeni(ikumbukwe ndege za Airbus zimekodiwa ila hakuna pesa inayoingizwa hapa).
Mhe. Rais Zaidi ya yote nitashukuru sana kama utafanya watanzania watakavyo na kuachana kidogo na ibara ya 13 ya CCM kwa kipindi hiki.
Nakupongeza sana na kwa niaba ya wanajamii tunakutakia sikukuu Njema ya Krismai na Mwaka Mpya ila kama utafanya yale tutakayokuwa tukikuambia.
asante sana
Nipo Hapa Nairobi toka juzi kwa shughuli maalum ya kidunia,na nimebahatiaka kusoma katika magaeti ya hapa kukwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete atapewa shahada ya heshima(shahada ya udaktari wa sheria katika chuo kikuu cha kenyatta).
Mtu mwingine atakayepewa ni rafiki yangu wa siku nyingi Makamu wa Rais wa Kenya.
Hivyo kuanzia Leo,Mkulu,Muungwana atakuwa akiitwa
Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Hongera Mkwere na na nakupongeza sana mhe. ais wa taaifa hili.Na nakushauri kw akupewa heshima hii basi wape watazania Maisha Bora ambayo uliwahaidi(Special request)!
Najua ulishaamua kuwakataa Mafisadi kwa staili flani ila nisaidie katika hili pia.Watu wanalia na wana nja kali sana na kama ikiwezekana fanyia kazi yale maneno ya Mchungaji na Mzee Mwanakijiji.
Kwa kupongeza zaidi naomba utuondolee Mataka pale ATCL na afunguliwe Mashataka kwa kuliingiza taifa katika mzigo mkuwba wa Madeni(ikumbukwe ndege za Airbus zimekodiwa ila hakuna pesa inayoingizwa hapa).
Mhe. Rais Zaidi ya yote nitashukuru sana kama utafanya watanzania watakavyo na kuachana kidogo na ibara ya 13 ya CCM kwa kipindi hiki.
Nakupongeza sana na kwa niaba ya wanajamii tunakutakia sikukuu Njema ya Krismai na Mwaka Mpya ila kama utafanya yale tutakayokuwa tukikuambia.
asante sana
Last edited by a moderator: