Dr. Jakaya Mrisho Kikwete!

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
Heshima Mbele,

Nipo Hapa Nairobi toka juzi kwa shughuli maalum ya kidunia,na nimebahatiaka kusoma katika magaeti ya hapa kukwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete atapewa shahada ya heshima(shahada ya udaktari wa sheria katika chuo kikuu cha kenyatta).

Mtu mwingine atakayepewa ni rafiki yangu wa siku nyingi Makamu wa Rais wa Kenya.

Hivyo kuanzia Leo,Mkulu,Muungwana atakuwa akiitwa

Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Hongera Mkwere na na nakupongeza sana mhe. ais wa taaifa hili.Na nakushauri kw akupewa heshima hii basi wape watazania Maisha Bora ambayo uliwahaidi(Special request)!

Najua ulishaamua kuwakataa Mafisadi kwa staili flani ila nisaidie katika hili pia.Watu wanalia na wana nja kali sana na kama ikiwezekana fanyia kazi yale maneno ya Mchungaji na Mzee Mwanakijiji.

Kwa kupongeza zaidi naomba utuondolee Mataka pale ATCL na afunguliwe Mashataka kwa kuliingiza taifa katika mzigo mkuwba wa Madeni(ikumbukwe ndege za Airbus zimekodiwa ila hakuna pesa inayoingizwa hapa).

Mhe. Rais Zaidi ya yote nitashukuru sana kama utafanya watanzania watakavyo na kuachana kidogo na ibara ya 13 ya CCM kwa kipindi hiki.

Nakupongeza sana na kwa niaba ya wanajamii tunakutakia sikukuu Njema ya Krismai na Mwaka Mpya ila kama utafanya yale tutakayokuwa tukikuambia.

asante sana
 
Last edited by a moderator:
ENYATTA UNIVERSITY – 25TH GRADUATION CEREMONY Kenyatta University will honor The President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Hon. Jakaya Mrisho Kikwete, Kenya’s Vice-President and Minister for Home Affairs, His Excellency Hon. Kalonzo Musyoka and a leading Educationist, Dr. Eddah Gachukia during its 25th Graduation Ceremony this Friday, (December 19th, 2008).

The President of the United Republic of Tanzania will be honored with a Doctor of Humane Letters (honoris causa) in recognition of his great effort in leadership excellence, peace initiative and support for education.

The Vice- President of the Republic of Kenya and Minister for Home Affairs, Hon. Stephen Kalonzo Musyoka will also be honored with a Doctor of Humane Letters (honoris causa) in recognition of his achievements in peace making, conflict resolution efforts, community development and humanistic ideals.

Dr. Eddah Wacheke Gachukia, a renowned educationist in Kenya will be honored for her achievement in academics, contribution in various organizations and leadership excellence.

Honorary degrees are awarded to distinguished personalities for exemplary attributes and outstanding professional accomplishments. The recipients of the honorary degrees are awarded at regular graduation ceremonies and are invited to make a speech of acceptance before the assembled faculty and graduands.

The award of the honorary degrees to The President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Hon. Jakaya Kikwete, Kenya’s Vice-President and Minister for Home Affairs, His Excellency Hon. Kalonzo Musyoka and a leading Educationist, Dr. Eddah Gachukia was approved by the Kenyatta University Senate and Council.

Kenyatta University senate and council will award Certificates, Diplomas, Undergraduate, post-graduate and Doctor of Philosophy (PhD) degrees to more than three thousand (3,000) graduands during the 25th graduation ceremony.

source:Kenyatta University Website
 
Sitoi hongera hadi Rostam aende Kisutu....hawa madaktari wa kupewa wapo wengi kumbuka hata mama Gertrude Rwakatare naye anao!!!
 
Tumpe hongera yake mheshimiwa wetu, lakini kwa nn kapewa ya Sheria!?
 
Je whats his contribution mpaka apate u Dr? tumegee basi. Maana kila apewaye huwa kuna kitu kachangia. Au kurandaranda duniani?
The President of the United Republic of Tanzania will be honored with a Doctor of Humane Letters (honoris causa) in recognition of his great effort in leadership excellence, peace initiative and support for education. Nina wasiwasi na hili la great leadership excellence. Unless Kenyatta university wana definition yao ya leadeship excellence. Support education ya wapi? Kenya au Tanzania? maana shule kibao hazina vifaa wala walimu. Majengo yaliyozagaa na walimu wawili tu mashuleni. Good lord save Tanzania.
 
Labda tuangalie hili nalo la ATC, nielewavyo mimi maendelea yapo ikiwa kuna mabadilko, mtoto anaongezeka urefu au uzito, msichana anaota matiti, familia inajenga kanyumba kake, vijisenti benki vinaongezeka.
Sasa kila mara tunapokuwa na kampuni/shirika kubwa basi watakaopewa ni wale wale ambao tumekuwa tukiwasikia miaka nenda miaka rudi. Je hii miaka 25 iliyopita haijatutolea wajanja wanaoweza kutupelaka mbele???????
ikumbukwe kabla KLM haijaenda KQ walikuja ATC na mtu mmoja huko ATC na mwingine wizarani wakakalia uamuzi kwa miezi tisa, mdachi akachoka akenda zake KQ, baada ya siku sita akapewa green light. Hebu tutafute watu ambao magazeti ya serikali na mengine hayajamwandika lakini ana kasifa kake kwenye ubunifu na tumpe watu wapya kabisa. La sivyo kila siku tutakuwa ni akina Mataka kwenye chupa mpya.
 
Je whats his contribution mpaka apate u Dr? tumegee basi. Maana kila apewaye huwa kuna kitu kachangia. Au kurandaranda duniani?
The President of the United Republic of Tanzania will be honored with a Doctor of Humane Letters (honoris causa) in recognition of his great effort in leadership excellence, peace initiative and support for education.[/QUOTE]
Nadhani shule za Lowassa Zile zimetoa sana mkulu.nakumbuka wakati akihojiwa na VOA aliongelea sana mafanikio yake katika mambo ya elimu ya Msingi.

Ila kwa kiasi kikubwa mambo ya MEM alianzisha mkapa sasa sijajua ni Elimu ipi wanyoiongelea hapa.Elimu bila ya kuwa na walimu wenye sifa?kuwa na madarasa na viatbu vya kutosha??

Tumeona jinsi shule nyingi za bwenmi zikifungwa kw akukosa chakula na bado tu nchi inaendelea kununua mashangingi na kuweka mikutano ya sullivan.

Huwa kuna wakati nafikiria Priority za nchi yetu ziko wapi?hasa kwa watendaji wa serikali.Sina ubaya na rahisi(nahisi wanamdanganya na kumroga),ila hawa watendaji wa chini(They are doing nothing and blunders kila siku nikiamka).

kama ana uwezo wa kuwateua kwanini asibatilishe uteuzi wao..

we ned Matakka Out before Christmas?we should have a move kwa kipindi hiki na ikiwezekana hata maandamano!
 
Heshima Mbele,

Nipo Hapa Nairobi toka juzi kwa shughuli maalum ya kidunia,na nimebahatiaka kusoma katika magaeti ya hapa kukwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete atapewa shahada ya heshima(shahada ya udaktari wa sheria katika chuo kikuu cha kenyatta).

Mtu mwingine atakayepewa ni rafiki yangu wa siku nyingi Makamu wa Rais wa Kenya.

Hivyo kuanzia Leo,Mkulu,Muungwana atakuwa akiitwa

Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Hongera Mkwere na na nakupongeza sana mhe. ais wa taaifa hili.Na nakushauri kw akupewa heshima hii basi wape watazania Maisha Bora ambayo uliwahaidi(Special request)!

Najua ulishaamua kuwakataa Mafisadi kwa staili flani ila nisaidie katika hili pia.Watu wanalia na wana nja kali sana na kama ikiwezekana fanyia kazi yale maneno ya Mchungaji na Mzee Mwanakijiji.

Kwa kupongeza zaidi naomba utuondolee Mataka pale ATCL na afunguliwe Mashataka kwa kuliingiza taifa katika mzigo mkuwba wa Madeni(ikumbukwe ndege za Airbus zimekodiwa ila hakuna pesa inayoingizwa hapa).

Mhe. Rais Zaidi ya yote nitashukuru sana kama utafanya watanzania watakavyo na kuachana kidogo na ibara ya 13 ya CCM kwa kipindi hiki.

Nakupongeza sana na kwa niaba ya wanajamii tunakutakia sikukuu Njema ya Krismai na Mwaka Mpya ila kama utafanya yale tutakayokuwa tukikuambia.

asante sana
Hongera kwa JK, I guess nchi za jirani zimeona michango yake au ndio janja ya Kenya ya kutaka kumhonga ili asaini EAF.

Talking about obsession/addiction mkulu hakuna post utakayotundika bila kutaja jina la Mkjj.
 
Hongera kwa JK, I guess nchi za jirani zimeona michango yake au ndio janja ya Kenya ya kutaka kumhonga ili asaini EAF.

Talking about obsession/addiction mkulu hakuna post utakayotundika bila kutaja jina la Mkjj.
ulitaka nikutaje wewe?Kila mtu anatajwa kutokana na mchango wake kati uwanja mpana anaouelewa.Wewe katika mambo ya ulinzi nakupa heko sababu umebobea ila huku lazima nimpongeze mwanakijiji sababu anafanya kazi nzuri sana ambayo wengi hawathubutu kuifanya.

 
Hongera JK, lakini angalia hii statistic hapa chini na linganisha na nchini kwako:

Kenyatta University senate and council will award Certificates, Diplomas, Undergraduate, post-graduate and Doctor of Philosophy (PhD) degrees to more than three thousand (3,000) graduands during the 25th graduation ceremony.

And this is just one university! they also have these:

Moi University - Eldoret
University of Nairobi - Nairobi
Egerton University - Njoro, Nakuru
Maseno University - Maseno, Kisumu
Jomo Kenyatta University of Agriculture & Technology - Juja, Thika
Kenya Armed forces technical college (KAFTEC)-Nairobi
Masinde Muliro University of Science & Technology - Kakamega
Kenya Polytechnic University College - Nairobi
kenya Technical Teachers College - Nairobi
Kimathi University College - Nyeri
Kisii University College - Kisii
Africa Nazarene University – Kajiado
Aga Khan University, Highridge, Nairobi
Catholic University of Eastern Africa CUEA- Karen, Nairobi
Daystar University - Hurlingham, Nairobi
East Africa School of Theology - Nairobi
Great Lakes University of Kisumu (GLUK)
Gretsa University – Thika
Kabarak University - Kabarak, Nakuru
KCA University-Ruaraka, Nairobi
Kenya Highlands Bible College - Kericho
Kenya Methodist University (KEMU) - Meru
Kiriri Women's University of Science & Technology (KWUST) - Westlands, Nairobi
Nairobi Evangelical Graduate School of Theology (N.E.G.S.T.) - Karen, Nairobi
Nairobi International School of Theology [NIST] - Kilimani, Nairobi
Pan Africa Christian University - Nairobi
Scott Theological College - Machakos
St. Paul's University Theological College - Limuru
Strathmore University - Nairobi
United States International University (USIU-A) – Kasarani, Nairobi
University of Eastern Africa, Baraton - Eldoret
Mt Kenya university - Thika

See, over 32 universities! What do we have in TZ? Will we survive in the proposed EA Federation? We are just about to start crawling while others are already running!
 
Atumie busara akatae hiyo honorary degree ya kuchonga!! Siku hizi kila mtu anazinunua hizi; Karume nae kapewa na Anna mkapa pia alipewa!! Amebakia Mtikila tu kuwa DR. Wangoje mpaka baada ya kesi za hawa mafisadi ndio waone kama MUUNGWANA anastahili.
 
lazima nimpongeze mwanakijiji sababu anafanya kazi nzuri sana ambayo wengi hawathubutu kuifanya.


Wal hakuna ubishi. Anayebisha ana bifu zake tu na Villager wetu. Nakuunga mkon mkuu. Nawe villager keep it up .
 
Labda tuangalie hili nalo la ATC, nielewavyo mimi maendelea yapo ikiwa kuna mabadilko, mtoto anaongezeka urefu au uzito, msichana anaota matiti, familia inajenga kanyumba kake, vijisenti benki vinaongezeka.
Sasa kila mara tunapokuwa na kampuni/shirika kubwa basi watakaopewa ni wale wale ambao tumekuwa tukiwasikia miaka nenda miaka rudi. Je hii miaka 25 iliyopita haijatutolea wajanja wanaoweza kutupelaka mbele???????
ikumbukwe kabla KLM haijaenda KQ walikuja ATC na mtu mmoja huko ATC na mwingine wizarani wakakalia uamuzi kwa miezi tisa, mdachi akachoka akenda zake KQ, baada ya siku sita akapewa green light. Hebu tutafute watu ambao magazeti ya serikali na mengine hayajamwandika lakini ana kasifa kake kwenye ubunifu na tumpe watu wapya kabisa. La sivyo kila siku tutakuwa ni akina Mataka kwenye chupa mpya.

Kumbe ukweli mnaujua, sasa mnataka mataka ashitakiwe kwa lipi? WA TZ bwana COMEDY tupu, kila tatizo tunataka solution yake iwe kwenye tamplate bila kuangalia causes!!!!
Tumacha kuhusisha kila kitu na EPA sasa tumeamia kuwashitaki watendaji.
 
Labda tuangalie hili nalo la ATC, nielewavyo mimi maendelea yapo ikiwa kuna mabadilko, mtoto anaongezeka urefu au uzito, msichana anaota matiti, familia inajenga kanyumba kake, vijisenti benki vinaongezeka.
Sasa kila mara tunapokuwa na kampuni/shirika kubwa basi watakaopewa ni wale wale ambao tumekuwa tukiwasikia miaka nenda miaka rudi. Je hii miaka 25 iliyopita haijatutolea wajanja wanaoweza kutupelaka mbele???????
ikumbukwe kabla KLM haijaenda KQ walikuja ATC na mtu mmoja huko ATC na mwingine wizarani wakakalia uamuzi kwa miezi tisa, mdachi akachoka akenda zake KQ, baada ya siku sita akapewa green light. Hebu tutafute watu ambao magazeti ya serikali na mengine hayajamwandika lakini ana kasifa kake kwenye ubunifu na tumpe watu wapya kabisa. La sivyo kila siku tutakuwa ni akina Mataka kwenye chupa mpya.

Au ATC waliongwa na MAFISADI, huwezi jua
 
Heshima Mbele,

Nipo Hapa Nairobi toka juzi kwa shughuli maalum ya kidunia,na nimebahatiaka kusoma katika magaeti ya hapa kukwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete atapewa shahada ya heshima(shahada ya udaktari wa sheria katika chuo kikuu cha kenyatta).

............................................!!!!!

Hivyo kuanzia Leo,Mkulu,Muungwana atakuwa akiitwa

Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
........................!!!!



EEheee Bwana Gembe , machale yananicheza!! hao jamaa sina imani nao.
So ndo wale wale wanataka ka-ardhi ketu na kutaka kuhamia huku na kupata uraia?
Sasa leo wanachombeza kwa mbali, aenda Mlingotini kuagua!!!
 
EEheee Bwana Gembe , machale yananicheza!! hao jamaa sina imani nao.
So ndo wale wale wanataka ka-ardhi ketu na kutaka kuhamia huku na kupata uraia?
Sasa leo wanachombeza kwa mbali, aenda Mlingotini kuagua!!!

Muacheni Mkwere naye apate awe na ujiko bwana..Nitajitahidi kuwawekea picha hapa baadaye kama akiwapo uwanjani.Kuna mtu huko nyumbani anayejua kama Mkwere atakuwa hapa ?
 
Heshima Mbele,

Hivyo kuanzia Leo,Mkulu,Muungwana atakuwa akiitwa

Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Nakupongeza sana na kwa niaba ya wanajamii tunakutakia sikukuu Njema ya Krismai na Mwaka Mpya ila kama utafanya yale tutakayokuwa tukikuambia.

asante sana

Mkuu Gembe
No wonder hata wadwanzi wa bunge nao wanataka kuwa MaPhD ya kujipachika. Nadhani PhD hii tungempa sisi Watanzania kama alistahili. Mwambie JK akirudi atuambie falsafa yake ya maisha bora kwa kila mtanzania inaendaje, maana huo ndio mtihani wetu wa kumpa uprofesa
 
Mkwere hana haja na huu udoctor wa chee nyumbani kwake; amekwisha mpata doctor mmoja wiki iliyopita kupitia kwa binti yake Salama tena huu wa Salama wa kuganga meno!!
 
Last edited:
Hongera JK kwa kupata u DR. wa Sheria,KENYATTA wamezingatia mchango wako katika jamii ya Tanzania na kwa kusaidia upatanisho KENYA.Sasa usijebweteka kwa kuwa DR. ukawapa pumzi mafisadi,endelea kuwabana hadi watakomee.Ushauri wangu kwa JK awaondoe Mawaziri wanaotia doa kwenye Serikali yake,waondoe pia Wakuu wa Wilaya,Wakuu wa Mikoa, na Wakurugenzi wa Maendeleo wa Mikoa na Wilaya ambao waliwekwa na mafisadi kwa maslahi yao,kamwe hawatakusaidia bali watakuhujumu tuu.Baada ya hao safisha CCM ili ikubalike zaidi kwa Wananchi na usikilize maoni ya wananchi wako.Sikukuu njema.
 
Back
Top Bottom