Dr. Azaveli Lwaitama: Hakuna Tanganyika!

Tananyika iko replaced na Tanzania bara,Kwa mfano kabla hujaolewa uliitwa Jane John,baada ya kuolewa ukabadili jina unaitwa Jane Mushi,unapofanya birthday si unasherekea siku ile ile even if you are no longer Jane John but you are Jane Mushi.
 
Hio nchi ya Tanzania Bara wanayosema ipo kwnye ramani ipi ya dunia? mbona mie sijawahi kuiona?
Angalia ramani zote utakuta Tanzania na kule baharini Zanzibar.

Au Hio Tanzania bara imekua kama Mamlaka ya ndani ya palestina?

1. NIkikubaliana na nyier mnaotaka tuseme Tanzania Bara, sawa. Sasa si inabodo siku ya Uhuru wa nchi ya Tanzania Bara Tupandishe bendera yake na tuimbe wimbo wake wa Taifa? hivi vitu vipo? kwa sababu mojawapo ya ID ya nchi ni BENDERA NA WIMBO.
2. Tena rais wenu wa Tanzania Bara ni nani kama Tanzania visiwan inayo rais wake?

Kama majibu hayo hayapo vema inavotakiwa kuwepo, NI KWAMBA HAKUNA NCHI YA TANZANIA BARA.
MNADANGANYWA NA WANASIASA WAJINGA KWA MASLAHI YAO NA UOGA ULIOWATAWALLA JUU YA SUALA LA MUUNGANO.
LWAITAMA anatumiwa yule

Tanzania bara mna jeshi?
bendera?
wimbo?
rais?
serikali?

kama hamna vyote ivyo mnachezewa shere tu kuambiwa miaka 50 ya tanzania
 
[Tananyika iko replaced na Tanzania bara,Kwa mfano kabla hujaolewa uliitwa Jane John,baada ya kuolewa ukabadili jina unaitwa Jane Mushi,unapofanya birthday si unasherekea siku ile ile even if you are no longer Jane John but you are Jane Mushi]

Kwa hio Tanganyika iliolewa na nani?

 
Na wewe ni sehemu ya wapotoshaji, mwanzo nchi yetu ilikuwa inaitwa German East Africa, na baada ya Waingereza kuichukuwa na kuwa koloni lao ndio wakabadili jina na kuiita Tanganyika.

Na wewe acha kupotosha German East Africa au Deutsche Ostafrica ilijumuisha pia nchi za sasa za Burundi na Rwanda, na baada ya Ujerumani kushindwa vita vikuu vya pili vya dunia iligawanywa na Tanganyika kuwa chini ya Uingereza, huku Burundi na Rwanda zikiwa makoloni ya Ubelgiji. Kwa hiyo, German East Africa sio Tanganyika ya sasa pekee, naomba kabla ya kupost tufanyie utafiti kidogo wa kile tunachoandika.


Kwa kweli hata mimi natamani sasa jina la Tanzania Bara life na lirudi jina letu la Tanganyika; mjadala huu unanipa matumaini kwamba wakati huo upo na hauko mbali. Kama uhuni wa Mobutu Wacongo wamekuja kuutaa na kurudisha jina la nchi yao iliyobatizwa kiharamu na kuitwa Zaire; our beloved Tanganyika is on the way to resurface and assume its due status.
 
Na wewe acha kupotosha German East Africa au Deutsche Ostafrica ilijumuisha pia nchi za sasa za Burundi na Rwanda, na baada ya Ujerumani kushindwa vita vikuu vya pili vya dunia iligawanywa na Tanganyika kuwa chini ya Uingereza, huku Burundi na Rwanda zikiwa makoloni ya Ubelgiji. Kwa hiyo, German East Africa sio Tanganyika ya sasa pekee, naomba kabla ya kupost tufanyie utafiti kidogo wa kile tunachoandika.



Kwa kweli hata mimi natamani sasa jina la Tanzania Bara life na lirudi jina letu la Tanganyika; mjadala huu unanipa matumaini kwamba wakati huo upo na hauko mbali. Kama uhuni wa Mobutu Wacongo wamekuja kuutaa na kurudisha jina la nchi yao iliyobatizwa kiharamu na kuitwa Zaire; our beloved Tanganyika is on the way to resurface and assume its due status.

Nadhani umejaribu kusherehesha hii thread, maana sioni mantiki ya kusema nimepotosha wakati wewe hakuna ulipokanusha kwamba jina letu la awali kabla ya Tanganyika ni German East Africa.
 
Wakuu, wengine mnakurupuka tu na kutoka mapovu. Jiulize ni Tanzania au Tanganyika ndio iliyopata uhuru 1961? Ukipata jibu utajua kama Prof au mchangiaji ndio mpuuzi. Watu milioni 1 bado wanajiita Wazanzibar na wimbo wao wa Taifa, Bunge na Bendera yao. Kwanini isiwe hivyo kwa upande wa pili/Tanganyika? Acheni utumwa wa mawazo kwa kuwa amesema mtu eti kwa sababu ni Dk. ama Prof. huo ndio upuuzi kupita wa huyo mzee mimi nathubutu kumwita mamluki.

Historia haiwezi kufutika hata siku moja bali itaendelea kuwekwa katika kumbukumbu kwa karne na karne. Kwa hiyo Tanganyika kama ilibadilishwa na kuwa Tanzania bado jina Tanganyika litakuwa katika historia kwa vizazi na vizazi. Leo hii muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ukivunjika tutarudi kwenye jina letu Tanganyika. Uzoefu pia unatuonyesha kuwa kusoma na hata kufikia Phd mpaka unakuwa Prof. bado hakutuhakikishii kuwa umeondoa ujinga.

Uzoefu unaonyesha kuna akili za kuzaliwa nazo ambazo hata kama mtu hakuingia darasani bado anaweza kuwa na mawazo mazuri na akafanya mambo makubwa kama yule aliyekwenda shule nyingi tu. Lakini vile vile kuna ujinga wa kuzaliwa nao ambao hata kama mtu aende darasani na kumaliza madarasa yote anaweza kuendelea kuwa na mawazo pumba pumba tu akashangaza watu na usomi wake. Kuna mifano michache kama akina Dr. Bana, kuna yule prof. mwingine alikuwa anakunywa pombe mpaka anajinyea na wengine wengi tu.:lol:
 
Azaveri hewa tupu, anatumia falsafa kudanga watz. Phd yake haimsaidii chochote. Hata kwenye malumbano ya hoja itv wanafunzi wake wanamzidi kwa hoja. Ni kibaraka cha serikali ya jk
 
Kuwepo au kutokuwepo kutategemea pia unatafsiri vipi na reference yako ni nini. It is a question of own perception hapa. Kwa ujumla wake, Tanzanyika ya Nyerere iliisha.
 
Kuwepo au kutokuwepo kutategemea pia unatafsiri vipi na reference yako ni nini. It is a question of own perception hapa. Kwa ujumla wake, Tanzanyika ya Nyerere iliisha.
 
Tananyika iko replaced na Tanzania bara,Kwa mfano kabla hujaolewa uliitwa Jane John,baada ya kuolewa ukabadili jina unaitwa Jane Mushi,unapofanya birthday si unasherekea siku ile ile even if you are no longer Jane John but you are Jane Mushi.

Fe Lady unatukana wa Tanganyika. Ina maana Tanganyika ilibadili jina baada ya kuolewa na Zanzibar?
 
hakuna uhuru wa Tanzania, kama unasema hivyo ni mawazo ngando na hakuna haja ya kusoma historia, waote tunajua tunasherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika na tunatakiwa tuwe na Bendera za Tanganyika kama hauna njoo pale kwa Mtikila atakupa, Zanzibar wasubir mpaka miaka mitatu Baadaye nao watasherekea kivyao. TANGANTYIKA HOYEEEEEEEEEE
 
duniani kuna madokta wengi.
1. Dr Kamtekete
2. Dr Kombeleza
3. Dr Licky
4. Dr Manyaunyau
5. Dr Lwaitama
6. Dr Kifimbo
Wote hao ni madokta.
 
Hio nchi ya Tanzania Bara wanayosema ipo kwnye ramani ipi ya dunia? mbona mie sijawahi kuiona?
Angalia ramani zote utakuta Tanzania na kule baharini Zanzibar.

Au Hio Tanzania bara imekua kama Mamlaka ya ndani ya palestina?

1. NIkikubaliana na nyier mnaotaka tuseme Tanzania Bara, sawa. Sasa si inabodo siku ya Uhuru wa nchi ya Tanzania Bara Tupandishe bendera yake na tuimbe wimbo wake wa Taifa? hivi vitu vipo? kwa sababu mojawapo ya ID ya nchi ni BENDERA NA WIMBO.
2. Tena rais wenu wa Tanzania Bara ni nani kama Tanzania visiwan inayo rais wake?

Kama majibu hayo hayapo vema inavotakiwa kuwepo, NI KWAMBA HAKUNA NCHI YA TANZANIA BARA.
MNADANGANYWA NA WANASIASA WAJINGA KWA MASLAHI YAO NA UOGA ULIOWATAWALLA JUU YA SUALA LA MUUNGANO.
LWAITAMA anatumiwa yule

Tanzania bara mna jeshi?
bendera?
wimbo?
rais?
serikali?

kama hamna vyote ivyo mnachezewa shere tu kuambiwa miaka 50 ya tanzania
Swali lako zuri sana lakini nakuomba pia unijibu moja.. Kwa nini katika ramani hiyo hiyo Utaona TANZANIA imewekwa ktk eneo la Bara na ZANZIBAR imewekwa visiwani?..Je ndio kusema bara imekuwa Tanzania na Zanzibar imebakia kuwa Zanzibar maana kama limeandikwa jina la Tanzania haikutakiwa Zanzibar ioneshwe ktk ramani.. Kwa mtu yeyote asiyejua nchi hizi akiona ramani ataelewa kwamba Tanzania ni bara na Zanzibar ni visiwa vipo mashariki ya Tanzania...Kwa nini makosa haya hutumika?

Jamani haya maswala yatazidi kutuchanganya tu maana mkiacha KUADHIMISHA Uhuru wa nchi yetu kwa sababu ati Tanganyika ilishakufa lakini mnaadhimisha kifo cha Nyerere nashindwa kuwaelewa tena ajabu ni kwamba mnabishana kuhusu siku ya kuadhimisha ni ile alozaliwa ama alokufa. Sasa Kama mnakubaliana kuna kitu KUADHIMISHA isipokuwa siku yenyewe ndio tatizo ktk swala la Nyerere inakuwaje mnakataa kuadhimisha siku ya Uhuru ambayo hauna mjadala zaidi. Mgome basi hata kuadhimisha siku ya Nyerere amkisema kisha kufa..As a matter of fact naweza sema kwamba mnapoadhimisha siku ya Muungano pia huwa mnaadhimisha kifo cha Uhuru wa Tanganyika kwa sherehe na majigambo..Hizi zote complications za nini ikiwa hamjitakii ugonjwa wa moyo!

Acheni hizi siasa uchwara tuna mambo makubwa zaidi ya kuhofia na kuyaweka sawa haswa Katiba yetu ambayo imeandikwa wakati tupo ktk utawala wa chama kimoja kilichounganisha ASP na TANU.. Sasa hivi ni wakati wa kukabidhi mamlaka ya uongozi kwa serikali inayoingia nchi kwa KATIBA huru yenye malengo ya Kitaifa na sio ya Kichama.
 
Uwezo wa kufikiri wa Dr. Lwaitama ni mkubwa na ni mmoja kati ya watz ambao wananyadhifa katika jamii na wanatenda wanachokiamini tu. Jamaa hana unafiki wala woga wa kuwatii watawala ktk historia yake. Heshima kwa Dr. Lwaitama, mleta maada inawezekana ameshindwa kudadavua kwa undani sababu zilizotolewa kwa sababu Dr. ni mtu wa falsafa hivyo kumwelewa inahitaji kichwa kiwe vizuri.

Siku nyingine kwa ushauri ukileta maada sema kabisa maneno yote au toa sababu alizozitoa wakati ametoa kauli yake tukusaidie kudadavua.
 
Kwa hilo si jina kama CRDB ya zamani na CRDB yaleo je maana ni ileile??funguka Azavel Lwaitama hawezi kuwa mpuuzi kwawatu wenye uwezo kiakili ni mmoja wapo!!wewe ndo unawezakuwa mpuuzi watu wanaomjua Azavel lwaitama na hii thread yako haiitaji kuwa jiniasi!!!dairekiti wewe ndiye mpuuzi!!!
Dr Azavel Lwaitama has been right in many discussions on this country's politics. In this issue of Tanganyika I believe that he is wrong. The songs of Tanzania bara and Tanzania visiwani has been buried by Zanzibaries. Let's all now sing the new songs Of Tanganyika and Zanzibar
 
Uwezo wa kufikiri wa Dr. Lwaitama ni mkubwa na ni mmoja kati ya watz ambao wananyadhifa katika jamii na wanatenda wanachokiamini tu. Jamaa hana unafiki wala woga wa kuwatii watawala ktk historia yake. Heshima kwa Dr. Lwaitama, mleta maada inawezekana ameshindwa kudadavua kwa undani sababu zilizotolewa kwa sababu Dr. ni mtu wa falsafa hivyo kumwelewa inahitaji kichwa kiwe vizuri.

Siku nyingine kwa ushauri ukileta maada sema kabisa maneno yote au toa sababu alizozitoa wakati ametoa kauli yake tukusaidie kudadavua.
Na mimi ningekushauri siku nyingine usome vizuri kabla ya kuchangia, kumbuka hii thread niliianzisha kwa mtindo wa live coverage ili waliokuwa wanasikiliza BBC kwa wakati ule nao watoe maoni yao na ambao walikuwa hawasikilizi ilikuwa ni taarifa watune BBC swahili kwani inapatikana online.
 
Mkuu, umeandika mambo mengi mazuri na ya kuelimisha, hongera.
Lakini wewe huna tofauti sana na wale unaodai walikiuka makubaliano 11 ya awali na kuyaingiza mengine hadi kufikia 23. Wakati hayo yanafanyika hao wa upande wa pili walikuwa wapi? Waliridhia au walipinga?
Aidha, watu wote wanaouzungumzia muungano husema tu kwamba makubaliano yalikuwa 11, lakini mbona hayatajwi? Na aidha sijaona katika makala yako sehemu inaposema, jina la Tanganyika lilizuiwa kutumika kwa sheria namba kadhaa, ya mwaka kadhaa na atakayelitaja jina hilo adhabu yake ni fulani, hakuna!!!
Sasa hiyo kauli, ati jina Tanganyika lilizikwa kitambo umeitoa wapi? Wabara wanaitwa wa-Tanzania bara kwa mazoea na si kwa sheria, kama ilivyo nambari tisa, awali ikiitwa au kutamkwa kenda na sasa inaitwa tisa ni mazoea tu wala hakuna sheria iliyofuta tamshi la kenda vivyo hivyo kwa Tanganyika. Au niseme ni kwa unafiki tu ili usionekane adui wa muungano!!!???
Kwa hiyo hata uhuru tutakao usherehekea tar 9/12/2011 ni wa Tanganyika, wala haijazikwa.
 
Tanganyika haipo. Sawa! Lakini hii ni miaka 50 ya Tanganyika Ndiyo maana kesho hkuna sherehe Zanzibar.

Huyu mwalimu wa chuo ana matatizo siku nyingi sana. Baada ya kuachana na ulevi kuzidi kipimo amejirudi kama teja na sasa ana pozi kama mulokole.

Nadhani tuheshimu maneno ya Issa Shivji kwamba kuna wanataaluma na wana zuoni. Huyu siyo mwana zuoni, ni mwana taaluma tu.
 
Kama ulibahatika kumsikiliza vizuri Dr. Lwaitama wakati akihojiwa na mtangazaji wa idhaa ya kiswahili ya BBC katika kipindi cha Dira ya Dunia kati ya siku 2 au 3 nyuma toka leo wala huwezi kuwa na wasiwasi wa maelezo ya Lwaitama.
 
Back
Top Bottom