Tatizo la tanzania mpaka sasa ni la kimfumo pia na uwezo wa viongozi binafsi
Na mfumo wa kiutawala na kisiasa ndio unaofanya hata kionngozi mwenye uwezo asiweze kufanya mabadiliko yanayotarajiwa
Ni kwa sababu hiyo A R Migiro hawezi kuisaidia nchi hii kwa matatizo tuliyo nayo hata kama atafanikiwa kuchaguliwa
Sitampigia kura!
Na mfumo wa kiutawala na kisiasa ndio unaofanya hata kionngozi mwenye uwezo asiweze kufanya mabadiliko yanayotarajiwa
Ni kwa sababu hiyo A R Migiro hawezi kuisaidia nchi hii kwa matatizo tuliyo nayo hata kama atafanikiwa kuchaguliwa
Sitampigia kura!