mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Unajuaje labda kamlala?
around 1990s ALISEMAGA YEYE AKIRUDI CCM AMLALE MAMA YAKE))) alikuwa NCCR na hatimae akarudi CCM na akapewa kazi ya propaganda na baadae ubunge wa EAC. Nahisi kushinda huko ni plan moja wapo ya kum-twist bwana Zana Za Kilimo/ ZZK ili aone kuwa hatotupwa na yeye na chochote atakacho atapewa ili aweze kutumika kama kikamilifu kwenye mchezo wao wa 2015.
Huwa najiuliza je kweli kuwa watu/wanasiasa wa Kigoma ni mandumi la kuwili kupindukia au ni bahati mbaya tu?? wenyeji wa mkoa huo msaada tafadhali!!!