Upo ushahidi wa wazi kuwa matajiri wa hapa Morogoro wametengeneza mtandao mkali wa kujinemesha kupitia maliasili zilizojaa hapa Morogoro.
Walitengeneza mfuko maalumu wa kuhonga viongozi wa wilaya, mkoa na mpaka taifa. Mfuko huo uko chini ya Abbod Azizi mbunge wa Morogoro mjini anayeomba kutetea nafasi yake.
Akisaidiana na Ahmed Shabiby wa Gairo. Viongozi hawa lengo lao kuu ilikuwa kuhakikisha wabunge wanaopita hapa ni wale wenye ngozi nyeupe na fedha. Sababu kuu wanazotoa ni kuwa washahili hawaaminiki katika biashara zao za kuchuma mali za umma.
Tayari wameshafanikiwa kumwingiza ubunge mhe. Innocent Kalogeresi mwenye asili yao, baada ya kuhonga wajumbe na kumwangusha Eng. Mtigumwe kwa kura nyingi wakihofia kuwa akimkaribia anaweza kupitishwa kutokana na ukaribu wake na Rais.
Upo ushahidi wa wazi kuwa walishakusanya kiasi kinono cha pesa wamekifikisha kwa mhe.Polepole na hivi karibuni kutakuwa na mabasi ya Polepole ndani ya kampuni ya Abbod, Shabiby na Al Saidy.
Kazi aliyopewa Polepole ni kwanza kuangalia uwezekano wa kuhakikisha mhe Amosi Makala anaondolewa licha ya kuongoza kura ya maoni ili aingie mwarabu mwenzao mhe.Sadiq mbunge wa awamu iliyopita.
Sumu atakayotumia Polepole ni kuwa mhe. Makala ni timu JK na anamhujumu JPM hoja aliyomwondoa u-RC . Kazi nyingine ni Polepole kumtetea Shabiby juu ya kuhonga wajumbe wote zaidi 600 kila mmoja 50,000 ili apate kura zote. Rushwa ambayo ilikuwa wazi kwani alitumia M/kiti CCM wilaya, madiwani wake wa zamani ambao wote pia waliongoza, Takukuru na OCD Gairo kufanikisha rushwa hiyo.
Licha ya kuongoza kura ya maoni kwa asilimia zaidi ya 98 wasiwasi wa Shabiby ni maeleano mabovu na kamisaa wa uchaguzi ambaye ni DC wa wilaya hiyo ambapo amekuwa anatumia wahuni kumdhalilisha mama huyo kwenye mikutano kwa matusi ya nguoni.
Mpaka sasa kaka yake Shabiby kiongozi wa wahuni hao ajulikanaye kwa jina la Salehe anatafutwa na polisi kwa kumtusi DC huyo .
Wasiwasi ya pili ya Shabiby ni sifa nzuri za mpinzani wake kielimu licha ya kumshinda kwa kura nyingi, Dr. Mmasa ambaye ni mhadhiri wa UDOM ana wasiwasi anaweza pitishwa.
Katika mkakati wao wamekubaliana kuachana na mwenzao aliyekuwa mbunge wa Kilosa mwenye asilii yao kwa kuogopa kumuwekea fitina za kueguliwa Prof. Kabudi kwani wanaelewa ukaribu wa Profesa na mheshimiwa Rais.
Rais Magufuli na Dr. Bashiru wanatakiwa kuwa makini sana na Polepole kwani anaonekana kutaka kujinemesha kutokana na uchaguzi huu siyo Morogoro tu mbali na maeneo mengine ya nchi yenye wagombea matajiri kama hawa wa Morogoro.
Walitengeneza mfuko maalumu wa kuhonga viongozi wa wilaya, mkoa na mpaka taifa. Mfuko huo uko chini ya Abbod Azizi mbunge wa Morogoro mjini anayeomba kutetea nafasi yake.
Akisaidiana na Ahmed Shabiby wa Gairo. Viongozi hawa lengo lao kuu ilikuwa kuhakikisha wabunge wanaopita hapa ni wale wenye ngozi nyeupe na fedha. Sababu kuu wanazotoa ni kuwa washahili hawaaminiki katika biashara zao za kuchuma mali za umma.
Tayari wameshafanikiwa kumwingiza ubunge mhe. Innocent Kalogeresi mwenye asili yao, baada ya kuhonga wajumbe na kumwangusha Eng. Mtigumwe kwa kura nyingi wakihofia kuwa akimkaribia anaweza kupitishwa kutokana na ukaribu wake na Rais.
Upo ushahidi wa wazi kuwa walishakusanya kiasi kinono cha pesa wamekifikisha kwa mhe.Polepole na hivi karibuni kutakuwa na mabasi ya Polepole ndani ya kampuni ya Abbod, Shabiby na Al Saidy.
Kazi aliyopewa Polepole ni kwanza kuangalia uwezekano wa kuhakikisha mhe Amosi Makala anaondolewa licha ya kuongoza kura ya maoni ili aingie mwarabu mwenzao mhe.Sadiq mbunge wa awamu iliyopita.
Sumu atakayotumia Polepole ni kuwa mhe. Makala ni timu JK na anamhujumu JPM hoja aliyomwondoa u-RC . Kazi nyingine ni Polepole kumtetea Shabiby juu ya kuhonga wajumbe wote zaidi 600 kila mmoja 50,000 ili apate kura zote. Rushwa ambayo ilikuwa wazi kwani alitumia M/kiti CCM wilaya, madiwani wake wa zamani ambao wote pia waliongoza, Takukuru na OCD Gairo kufanikisha rushwa hiyo.
Licha ya kuongoza kura ya maoni kwa asilimia zaidi ya 98 wasiwasi wa Shabiby ni maeleano mabovu na kamisaa wa uchaguzi ambaye ni DC wa wilaya hiyo ambapo amekuwa anatumia wahuni kumdhalilisha mama huyo kwenye mikutano kwa matusi ya nguoni.
Mpaka sasa kaka yake Shabiby kiongozi wa wahuni hao ajulikanaye kwa jina la Salehe anatafutwa na polisi kwa kumtusi DC huyo .
Wasiwasi ya pili ya Shabiby ni sifa nzuri za mpinzani wake kielimu licha ya kumshinda kwa kura nyingi, Dr. Mmasa ambaye ni mhadhiri wa UDOM ana wasiwasi anaweza pitishwa.
Katika mkakati wao wamekubaliana kuachana na mwenzao aliyekuwa mbunge wa Kilosa mwenye asilii yao kwa kuogopa kumuwekea fitina za kueguliwa Prof. Kabudi kwani wanaelewa ukaribu wa Profesa na mheshimiwa Rais.
Rais Magufuli na Dr. Bashiru wanatakiwa kuwa makini sana na Polepole kwani anaonekana kutaka kujinemesha kutokana na uchaguzi huu siyo Morogoro tu mbali na maeneo mengine ya nchi yenye wagombea matajiri kama hawa wa Morogoro.