Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Uchaguzi uliofanyika jana na matokeo yake kutangazwa saa 9 usiku na Dr Kabourou katangazwa kuwa mshindi kwa kumshinda mpinzani wake Ndg. William Ntahindula Luturi. Kwa taarifa huyu jamaa alishawahi kuwa chama cha upinzani na akaisumbua sana CCM
SOURCE. Mjumbe aliyekuwa ndani ya ukumbi
SOURCE. Mjumbe aliyekuwa ndani ya ukumbi