The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Lazaro simtindi,
Nadhani hujamwelewa Kana-ka-Nsungu. Kwa maoni yangu, anaposena mwaka huu watauana sana anamaanisha watapelekana sana kutibiwa katika hospitali za ughaibuni kisha watutangazie fulani kafariki alihali u hai!. Rejea kifo cha Balali na utata wake. Hapo upo mkuu??
Achana naye, huyo jamaa ana lake jambo. Kana ka Nzungu hajesema lolote baya la kumkasilisha mtu. And I do not think that our level of understanding issues here (at JF) is that different.