MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,481
Hakika mkuu, ila serekali isikae kimya itoe ufafanuzi
Speculation zimekua ni nyingi sana, taarifa rasmi itolewe kuondoa taharuki
Mama Tanzania Wanao tuna piga ramli nyingi sana. Tangu amekuja DP World, speculation ni nyingi sana. Hakika, hii inatokana na ombwe la taarifa rasmi au mapungufu au ukinzani katika taarifa zisizo toshelevu. Wajibu wa viongozi ni kuondoa ombwe, kuondoa mkanganyiko na kuwapa taarifa rasmi...
www.jamiiforums.com