Kurekebisha mkataba wa DP World, hongera Rais Samia

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,333
24,218
e073e2269bd8ca9e267c3178f6127f09.jpeg-1.jpg


Rais Samia Suluhu Hassan

Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.

Pongezi zangu zinazingatia vipengele kadhaa:

- Watanzania wengi tunapenda uwekezaji na nchi iweze kuvutia mitaji toka kote duniani

- Mchakato wa kwanza jinsi ya kumpata muwekezaji DP World uligubikwa na usiri

- Mchakato huo wa awali haukuzingatia maslahi ya wazi kabisa kitaifa

- Taratibu za manunuzi ya umma kwa kuzingatia uhusika na uhalali vyombo husika kwa mkataba na DPW haukuwepo wazi.

Mama Samia ameonyesha usikivu na uelewa kwa athari zilizoanza kujitokeza.
Kwamba mama alikaa kimya kumbe chini ya carpet anayafanyia kazi madudu yote yaliyo jitokeza.

Ingawaje kuna wakati mama Samia alionyesha kukerwa na lawama nyingi, lakini cha msingi na cha kuigwa na viongozi wajao ni kushughulikia matatizo kwa mafanikio na maslahi ya nchi.

Sasa kina Mwabukusi na Slaa inabidi watafute soo jingine, waliyoonyesha yameshughulikiwa.

Kitu cha msingi sasa hivi ni kujitathmini: how did Ikulu get it so wrong mwanzoni?
Waliotoa na kuratibu ushauri hasi watawajibika vipi?

Otherwise kwa sasa:
Hongera mama Samia maana hongera hizo unastahili, kwa kondoa wingu lililokuwa limetanda.
 
Samia hakika anastahili kupewa maua yake mapema sana,atake asitake hakuna kumuongezea muda,ila mungu akipenda tuwe nae hadi 2030 INSHALLAH.
 
View attachment 2789961
Rais Samia Suluhu Hassan

Nikiwa mmoja wa members wa JF nilyepinga sana mkataba wa awali kati ya nchi yetu na DP World, nachukua nafasi hii kumpongeza Mama Samia.

Pongezi zangu zinazingatia vipengele kadhaa:

-watanzania wengi tunapenda uwekezaji na nchi iweze kuvutia mitaji toka kote duniani

-mchakato wa kwanza jinsi ya kumpata muwekezaji DP World uligubikwa na usiri

-mchakato huo wa awali haukuzingatia maslahi ya wazi kabisa kitaifa

-taratibu za manunuzi ya umma kwa kuzingatia uhusika na uhalali vyombo husika kwa mkataba na DPW haukuwepo wazi.

Mama Samia ameonyesha usikivu na uelewa kwa athari zilizoanza kujitokeza.
Kwamba mama alikaa kimya kumbe chini ya carpet anayafanyia kazi madudu yote yaliyo jitokeza.

Ingawaje kuna wakati mama Samia alionyesha kukerwa na lawama nyingi, lakini cha msingi na cha kuigwa na viongozi wajao ni kushughulikia matatizo kwa mafanikio na maslahi ya nchi.

Sasa kina Mwabukusi na Slaa inabidi watafute soo jingine, waliyoonyesha yameshughulikiwa.

Kitu cha msingi sasa hivi ni kujitathmini: how did Ikulu get it so wrong mwanzoni?
Waliotoa na kuratibu ushauri hasi watawajibika vipi?

Otherwise kwa sasa:
Hongera mama Samia maana hongera hizo unastahili, kwa kondoa wingu lililokuwa limetanda.
Mimi nasikitika, why?
1. Walifikiria Nini hasa kukubali na ku sign ile MOU. Kama waliweza ku sign ile huku wakijiita wazalendo,wasomi na wachapakazi,je utawaamini Tena Hawa na kuwapa pongezi?
2. Kitendo cha ku sign mkataba ule wa hovyo na kusubir mpaka Watanzania walalamike ndiyo mbadilishe wewe unaona ni Sawa? Hebu fikiria kama ule mkataba usingevuja nchi ingekuwa wap kesho. Wahuni walisha sign na kutia mfukoni faranga nchi wakaikabidhi wa waarabu kitapeli kabisa
Hapa hakuna pongezi ila tunatakiwa kujiuliza tu tuna viongozi kwasasa au matapeli yapo hapo? Jibu hatuna viongozi Bali matapeli tu
 
Mimi nasikitika, why?
1. Walifikiria Nini hasa kukubali na ku sign ile MOU. Kama waliweza ku sign ile huku wakijiita wazalendo,wasomi na wachapakazi,je utawaamini Tena Hawa na kuwapa pongezi?
2. Kitendo cha ku sign mkataba ule wa hovyo na kusubir mpaka Watanzania walalamike ndiyo mbadilishe wewe unaona ni Sawa? Hebu fikiria kama ule mkataba usingevuja nchi ingekuwa wap kesho. Wahuni walisha sign na kutia mfukoni faranga nchi wakaikabidhi wa waarabu kitapeli kabisa
Hapa hakuna pongezi ila tunatakiwa kujiuliza tu tuna viongozi kwasasa au matapeli yapo hapo? Jibu hatuna viongozi Bali matapeli tu
Huko nyuma tulikuwa na an absolute president, ukimsahihisha unaandka na wosia.
Na hadi leo malalamiko ya ununuzi wa ndege kwa mfao , ambazo baadhi ziko grounded muda mrefu, hakuurekebisha.
Huyu president anayejisahihisha kutokana na lawama zilizo jitokeza, ana kosa gani katika hilo?
 
Back
Top Bottom