Tundapori
JF-Expert Member
- Aug 12, 2007
- 645
- 260
Mafisadi wa tz watuambie kama hakuna hela za kutoa elimu na afya bure kwa walalahoi, hizo hela za kumlipa fisadi zitatoka wapi? Maana kwa hakika mafisadi wamejishisha hii kesi ili walipane.
Ndiyo matokeo ya kutukuza sana politics kuliko technical know how.
Hamna kulia lia hapa inabidi tulipe tu kwa ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi, ni utelekelezaji wa ilani zetu. Chama on top of everything.