nakuheshimi sana mkuu sasa kitakachokuchekesha ni nini? na kitakachokusikitisha?Nitacheka nikiona viongozi wa upinzani wanaitisha mikutano ya waandishi wa habari na kutoa tamko wakiitaka "serikali kutoa maelezo"; nitacheka na kusikitika.
Waombewe ili laana iwakimbieMitambo ile waliizuia ili wainunue kwa bei ya kutisha sasa iliposhindikana yaliyofuata yalijulikana.........Tatizo hapa hakuna atakayewajibika.............Hakukuwa na sababu ya Tanesco kuzuia mitambo ya Dowans waliokuwa na sababu walikuwa ni TRA kwa kutolipwa kodi.....................This country is run by cursed people to put it mildly............
Mitambo ile waliizuia ili wainunue kwa bei ya kutisha sasa iliposhindikana yaliyofuata yalijulikana.........Tatizo hapa hakuna atakayewajibika.............Hakukuwa na sababu ya Tanesco kuzuia mitambo ya Dowans waliokuwa na sababu walikuwa ni TRA kwa kutolipwa kodi.....................This country is run by cursed people to put it mildly............
Hili ni jambo ambalo nililiona kabla, rejea post zangu za zamani. Nilijuwa watashinda kwani Dowans hawana kosa walilofanya.
Makosa ni wehu waliokuwa wanashabikia mitambo ile isinunuliwe na serikali Dowans walipotowa offer. Hata Mh. Zitto Kabwe alipigania sana mitambo hii inunuliwe ili kuepusha kesi, gharama na mgao wa umeme.
Leo kikowapi? Mashine tumezikosa, umeme tumekosa, gharama tutazilipia kwa upuuzi wa watu wachache ambao huwa wanajisemea tu bila kuwa na mantiki.
Sasa ndio mtajuwa kuwa Dr. Rashid ni kichwa.
ingetumika sharia yoyote atakaethibitika kushiriki ufisadi na kuligharimu taifa apigwe mawe mpk afe kila cku watu wanatutenda tunabaki tukilialia kabla hatujanyamaza wanatutenda tena sasa tupaze sauti zetu hivi haiwezekani siku ya kusheherekea uhuru wa Tanganyika tukabeba mabango maeneo yote ya nchi kupinga ufisadi?
Nitacheka nikiona viongozi wa upinzani wanaitisha mikutano ya waandishi wa habari na kutoa tamko wakiitaka "serikali kutoa maelezo"; nitacheka na kusikitika.
Valambia hajalipwa, kesi inaendelea, ilianzia kwa wakili Mkono, sasa inashikwa na Dr. Tenga. Malipo ya mawakili yameshapitiliza gharama za deni!, mind well supply ilifanyika 1978 wakati wa vita vya Kagera, more than twenty years now!, mawakili wanaendelea kulipwa!.Hivi ni nani aliyeishtaki TANESCO? Nakumbuka kuna wakati kampuni hiyo DOWANS ilikuwa kama haina mwenyewe. Yule Valambhia (Not sure of spelling) aliyekuwa anaidai serikali baada ya kusuply vifaa vya jeshi alilipwa????? Just curious?
Mkuu Mkandara, nadhani ni maneno ya unabii!.Nini matokeo ya hukumu hii? Hakika bado mko nyuma sana kuelewa mipango ya mafisadi kwani kinatakiwa hasa ni kubinafsishwa kwa shirika hilo na hii ni moja ya hatua za mwanzo kulibana shirika, mwisho wa siku kama uharo itabidi tuachie mapema na salama. Mafisadi wako kazini na safari hii haponi mtu..
Lets say no, individually and as a nation.
Tukatae kulipa just like that tuwaambie point blank,
After all watatufanya nini? Kwani ICC inaweza kuchukua hatua yoyote (coercive) dhidi yetu?
Tumechoka sasa, hawahawa walisema tulipe hela za IPTL, wanajua kabisa deni halijaisha na umeme hatupati na sasa wanasema tulipe za Dowans wanatuona sisi mafala sana tukikubali kampuni nyingine itenda kudai wameshaona tanzania ni shamba la bibi
... hawako peke yao. Leo natumia lugha mbaya kidogo, that:
1: Watanzania wengi ni SPINELESS COWARDS!
2: Watanzania wengi, hususan wapenzi wa chama flani ni watu WAPUMBAVU kupindukia na hapa natoa mfano: Changanya waumini wa MLINGOTINI, wehu kama kina Sophia mpayukaji, kina Yusuphu Kambanyingi na wengine wengi tu wenye madaraka ukichanganya na wale wanaowaweka watu kama watu hawa madarakani
3: Watanzania wengi wana akili za zamadamu! Ni adui wa maendeleo. Kazi kubwa ni kupiga domo tu kuendeleza imani za kishirikina. Mauaji ya ALBINO na imani za hayo mambo toka vijijini maporini hadi mijini zipo. Angalia kwenye soka...mambo ya Msimbazi na Jangwani.... wametoa kafara ngapi za albino pale.??... huu upuuzi unaaaminika na Watanzania wengi tu...kwamba UCHAWI una miujiza hiyo ya kuleta solutions. UJINGA mtupu!
4: Kwa hiyo hata hao VIONGOZI ni product, offspin ya upuuzi iliokithiri kwa wingi tu Tanzania. A very dark country!! Uswahilini.
How long it takes to achieve real progress is directly proportional to shedding off COWARDNESS and I dare say, USWAHILI.
Apologies to whomsoever gets insulted.