Haitoshi tunataka mitambo itaifishwe kwanza nasikia wanadaiwa na benki karibu bil.100 halafu pia walikuwa hawalipi kodi.
Kwa taarifa ya Radio Tumaini, leo asubuhi saa 3, Dowans wamekubali kusamehe shirika la TANESCO deni la Bil 94. Hii naona ni habari njema. Kitu ninachojiuliza ni sababu ipi iliyopelekea hatua hiyo kutoka kampuni ya DOWANS kufikia uamuzi huo kwa sasa.
Kwa taarifa ya Radio Tumaini, leo asubuhi saa 3, Dowans wamekubali kusamehe shirika la TANESCO deni la Bil 94. Hii naona ni habari njema. Kitu ninachojiuliza ni sababu ipi iliyopelekea hatua hiyo kutoka kampuni ya DOWANS kufikia uamuzi huo kwa sasa.
Achana na huyo kijana kiziwi na siyejifunza!Mimi kinachonishangaza ni matamshi ya Ngereja na Mwanasheria mkuu kuwa hatuna namna kukwepa kulipa hilo deni, je kwanini sasa imewezekana? Tena bila nguvu ya sheria na mahakama?
Kwa taarifa ya Radio Tumaini, leo asubuhi saa 3, Dowans wamekubali kusamehe shirika la TANESCO deni la Bil 94. Hii naona ni habari njema. Kitu ninachojiuliza ni sababu ipi iliyopelekea hatua hiyo kutoka kampuni ya DOWANS kufikia uamuzi huo kwa sasa.
Kinachofanyika sasa hivi ni ku-twist akili za watanzania yaani tunakuwa tossed front and back, left and right, up and downNa Gharama za kuendesha kesi zinazotakiwa kulipwa ICC nazo watazibeba wenyewe? Maana kama wanasamehe na hiyo hasara ya gharama nayo wailipe wao