maritanga
Member
- Jan 20, 2011
- 20
- 1
du hapa bado nipo sipo (d'lema) kumbukeni kunasiku ilikuja ama kuwa budget za kila wizara zilipunguzwa kulipa dowans je amuoni kuwa yawezekana wamelipwa halfu wanatupiga chenga la macho hawa mafisadi
mie ninaomba kama kuna udhibitisho wa kusamewa uwekwe jamvin tuusome
mie ninaomba kama kuna udhibitisho wa kusamewa uwekwe jamvin tuusome