Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 384
- 783
AFRIKA tuna shida jamani. Sasa inabidi tumwombe Mungu apunguze mvua.
Mitambo inazama majini. Serikali imeshtuka baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua inanyesha kali viunga hivyo. Wakati wana dizaini bwawa hawakujua kuna siku mvua zitapiga, hakuna provision ya kuchepusha maji yanapozidi....
MWANANCHI ONLINE
APRIL 1st 2024
Mashine yazimwa Julius Nyerere
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dr. Dotto Biteko, akikagua mitambo ya kufua umeme
Biteko amesema kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) kutangaza uwepo wa mvua kubwa kwenye maeneo mengi, wizara hiyo itaendelea kuchukua kila hatua ya tahadhari
“Mfano Kituo cha Julius Nyerere ipo mashine moja ya kuzalisha umeme, lakini maji yanayozalishwa pale ni mengi sana kinyume kabisa na mipango tuliyokuwa nayo"
Maana tulikuwa tunajua kwamba Julius nyerere ingeweza kujaa bwawa lile mwezi wa 12 mwaka 2026, lakini yamejaa ndani ya msimu huu tu mmoja na yale maji yanavyojaa yanakuja mengi kwa wakati mmoja,” amesema.
Amesema baada ya kuona wingi walitoa tahadhari Machi kwa watu wote walioko upande wa chini wa bwawa, kwamba wangeachia maji maana uwezo wa kuendelea kuyashikilia haupo.
“Ukianza kufungulia yale maji, Julius Nyerere lazima uizime, maana yanayotoka juu ni mengi zaidi kuliko yanayotoka kwenye teresi, hivyo ninavyozungumza mtambo wa Julius Nyerere tumeuzima, tunapunguza maji ili tupate umeme," amesema Dk Biteko
Mitambo inazama majini. Serikali imeshtuka baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua inanyesha kali viunga hivyo. Wakati wana dizaini bwawa hawakujua kuna siku mvua zitapiga, hakuna provision ya kuchepusha maji yanapozidi....
MWANANCHI ONLINE
APRIL 1st 2024
Mashine yazimwa Julius Nyerere
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dr. Dotto Biteko, akikagua mitambo ya kufua umeme
Biteko amesema kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) kutangaza uwepo wa mvua kubwa kwenye maeneo mengi, wizara hiyo itaendelea kuchukua kila hatua ya tahadhari
“Mfano Kituo cha Julius Nyerere ipo mashine moja ya kuzalisha umeme, lakini maji yanayozalishwa pale ni mengi sana kinyume kabisa na mipango tuliyokuwa nayo"
Maana tulikuwa tunajua kwamba Julius nyerere ingeweza kujaa bwawa lile mwezi wa 12 mwaka 2026, lakini yamejaa ndani ya msimu huu tu mmoja na yale maji yanavyojaa yanakuja mengi kwa wakati mmoja,” amesema.
Amesema baada ya kuona wingi walitoa tahadhari Machi kwa watu wote walioko upande wa chini wa bwawa, kwamba wangeachia maji maana uwezo wa kuendelea kuyashikilia haupo.
“Ukianza kufungulia yale maji, Julius Nyerere lazima uizime, maana yanayotoka juu ni mengi zaidi kuliko yanayotoka kwenye teresi, hivyo ninavyozungumza mtambo wa Julius Nyerere tumeuzima, tunapunguza maji ili tupate umeme," amesema Dk Biteko