Don't underestimate Zanzibarians

..ni vigumu sana kuelewa msimamo wa wa-Zanzibar.

..kwanza wanasema hawataki muungano, halafu wanageuka wanasema makubaliano ya muungano yamekiukwa.

..kama hawataki muungano, basi waachane na hoja kwamba makubaliano ya muungano yamekiukwa. badala yake wajenge hoja kwamba muungano ni hasara na usumbufu kwa wa-Zanzibar.

..pia kuna wakati hulalamika kwamba wanataka Raisi wa Zanzibar awe makamu ktk serikali ya muungano. sasa hii nadhani ni hoja ya watu wanaopenda muungano.

..kwa upande wa Tanganyika nadhani wengi, haswa wanasiasa, wanaona aibu au uwoga kutamka kwamba hawataki muungano. Watanganyika tunapaswa kujiuliza tunafaidika nini na muungano huu? je, ukiondoka tutapungukiwa na kitu gani?

Unajuwa si lazima wewe uwaelew Wazanzibari kwani wewe si mmja wao na wala huoni tabu ya kutawaliwa.
Kama ni kuungana basi ni suala la kuwepo kuthaminiana kama vitu vilivyoungana na kutowa haki kwa kila upande. Si vizuri kuona opande mmoja ukijiona kuwa una haki zaidi ya mwenziwe. Kama Muungano unakuwa katika misingi hiyo kwanini kisiwe kitu kizuri?

Inapokosekana hali hiyo na mmoja akajifanya kuwa mbora kwa mwenziwe basi ndipo inapokuja kauli ya kusema Hatutaki Muungano.


Nafikiri sasa wafahamu Wazanzibari kuwa wanatowa option mbili hizo.
 
zanzibar na oman (u.a.e?) ni baba moja mamamoja......WAZANZIBAR WAKI-APPLY KAZI WANAPATA KIURAHISI NA SI WA-BARA...(na kumbuka maafisa ajira hapo unakuta ni wazanzibar)...its not a joke....!
SURE DONT UNDERESTIMATE THEM...!
Si rahisi kugombana na historia!!!
 
Mafuta? kitu cha kufikirika hicho
Hivi mnafikiri OIC ni suluhisho pekee kwa Zanzibar, ni nchi ngapi zilizo katika OIC lakini bado ni matatizo
Kila wakati mnajifananisha na Dubai, Hongkong...ni visiwa vingapi viko huru lakini havijafikia hadhi hiyo
Humtendei haki BABA wa Taifa na pia Ben Mkapa, Nyerere aliongoza nchi ikiwa haina kitu (wasomi wachache, uchumi duni kwa raia).Alitoa elimu bure, alitaifisha shule za wazungu kuwa public.Na mengine kibao Mkapa aliimarisha uchumi wa nchi, haijawahi tokea.
Nchi kutokuwa na dini maana yake nini? watu ndo wanapaswa kuwa na dini..si nchi. Pia usidharau dini nyingine..inaonesha unaupinga ukristu.Angalia siku ya kiama usije kukuta MUNGU si mkristu, wala muislamu..bali dini yake ni WEMA
Pia katika dunia ya leo wala huwezi zuia kasino, bar, na mengine...unachopaswa kufanya ni kutunza imani yako na wema wako...maisha ya mwingine yanakuhusu nini

Hayo mambo unayoyaona ni ya kipuuzi kwa bahati mbaya viongozi wako wa Serikali na dini wanayaona ni makubwa sana na wanafikiri kuwa ndio kila kitu si kama ufikiriavyo wewe.
 
Mafuta? kitu cha kufikirika hicho
Hivi mnafikiri OIC ni suluhisho pekee kwa Zanzibar, ni nchi ngapi zilizo katika OIC lakini bado ni matatizo
Kila wakati mnajifananisha na Dubai, Hongkong...ni visiwa vingapi viko huru lakini havijafikia hadhi hiyo
Humtendei haki BABA wa Taifa na pia Ben Mkapa, Nyerere aliongoza nchi ikiwa haina kitu (wasomi wachache, uchumi duni kwa raia).Alitoa elimu bure, alitaifisha shule za wazungu kuwa public.Na mengine kibao Mkapa aliimarisha uchumi wa nchi, haijawahi tokea.
Nchi kutokuwa na dini maana yake nini? watu ndo wanapaswa kuwa na dini..si nchi. Pia usidharau dini nyingine..inaonesha unaupinga ukristu.Angalia siku ya kiama usije kukuta MUNGU si mkristu, wala muislamu..bali dini yake ni WEMA
Pia katika dunia ya leo wala huwezi zuia kasino, bar, na mengine...unachopaswa kufanya ni kutunza imani yako na wema wako...maisha ya mwingine yanakuhusu nini

Mbona sikuelewi? nani kadharau dini ya mwingine? mbona umekuwa mzushi? wapi nimeupinga ukristo? kama unasema kweli nioneshe! halafu madawa ya kulevya, madanguro na ukimwi kwanini unataka kuyahusisha na ukristo? hivi maana yako nini? kweli wewe ni mzima? ninashaka na ubongo wako?
 
HTML:
Mafuta? kitu cha kufikirika hicho
Hivi mnafikiri OIC ni suluhisho pekee kwa Zanzibar, ni nchi ngapi zilizo katika OIC lakini bado ni matatizo
Kila wakati mnajifananisha na Dubai, Hongkong...ni visiwa vingapi viko huru lakini havijafikia hadhi hiyo
Humtendei haki BABA wa Taifa na pia Ben Mkapa, Nyerere aliongoza nchi  ikiwa haina kitu (wasomi wachache, uchumi duni kwa raia).Alitoa elimu  bure, alitaifisha shule za wazungu kuwa public.Na mengine kibao Mkapa  aliimarisha uchumi wa nchi, haijawahi tokea.
Nchi kutokuwa na dini maana yake nini? watu ndo wanapaswa kuwa na  dini..si nchi. Pia usidharau dini nyingine..inaonesha unaupinga  ukristu.Angalia siku ya kiama usije kukuta MUNGU si mkristu, wala  muislamu..bali dini yake ni WEMA
Pia katika dunia ya leo wala huwezi zuia kasino, bar, na  mengine...unachopaswa kufanya ni kutunza imani yako na wema  wako...maisha ya mwingine yanakuhusu nini

STRONG WORDS:
THANXS MATUNGE
 
Mara zote huwa najiuliza kwanini Watanganyika wana ukumbatia muungano kiasi cha kusahau na kulikana jina lao la asili Tanganyika.

Kulikoni waDanganyika mnaikana asili yenu? au ndio watumwa wa Nyerere maana yake mkataa asili yake ni mtumwa.

Hivyo WaDanganyika ni Watumwa
 
Back
Top Bottom