Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
[h=6]MTOTO MMOJA alikua akilia...akilia kwa nguvu!
jamaa mmoja akawa anapita akamuliza
JAMAA; Eeee mtoto mzuri nini unalia?
MTOTO; nimeeepoteza shiling mia ya..ngu.. iiiii
mtoto aliendelea kulia kwa sana jamaa ikabidi atoe hela mfukon akampa sh.mia tena.
Mtoto akazidisha kulia alivyopewa ile.
JAMAA; mbona unazidi kulia wakati nimekupa hyo hapo?
MTOTO;Nalia kwasababu nisingepoteza ile mi ya kwanza na hii uliyonipa ingekuwa sh.200.[/h]
jamaa mmoja akawa anapita akamuliza
JAMAA; Eeee mtoto mzuri nini unalia?
MTOTO; nimeeepoteza shiling mia ya..ngu.. iiiii
mtoto aliendelea kulia kwa sana jamaa ikabidi atoe hela mfukon akampa sh.mia tena.
Mtoto akazidisha kulia alivyopewa ile.
JAMAA; mbona unazidi kulia wakati nimekupa hyo hapo?
MTOTO;Nalia kwasababu nisingepoteza ile mi ya kwanza na hii uliyonipa ingekuwa sh.200.[/h]