tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Katika gazeti la Mwanahalisi la leo, anaonekana mtoto anayekadiriwa kuwa na miaka 12 akiwa na bango likisema "KIKWETE KAMA NCHI IMEKUSHINDA NIPE MIMI" nionavyo hii ni kejeli iliyopitiliza katika urais wa nchi. Nani anayekejeli hii heshima? Ni huyu mtoto, Kikwete au Gazeti? Tafakari