Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
- Thread starter
- #21
Nadhani wana JF kwa hili hamjamjibu jamaa swali! kwangu mie umri unaotakiwa kuwa tofauti baina ya mume na mke ni kuanzia miaka 0-3. Tofauti isizidi hapo. Wataalamu wanasema, tofauti ya umri unavyokuwa ndogo baina ya couples ndivyo uimara na ubora wa ndoa unavyoongezeka. Lakini pia kumbuka kuna kuzeeka, kama unamwoa unayemzidi umri wewe mwanamke au mwanaume ujue mmoja wenu atazeeka na kumwacha mwingine bado anademand kitu.. katika life sasa hapo ndo kunakuwepo na tatizo. inashauriwa kuwa bora mzeeke wote mtajua namna ya kutunzana na uzee wenu badala mmoja kuanza kuhisi kuwa mwenzie ni mzigo kwake.
Nakupa mfano wa halisi niliouona kwngu mie. mimi nilioa katika age 26 na mke wangu 27, hadi leo tunaishi bila matatizo yoyote. kunapokuwepo na tofauti ya mawazo mnaanza kuelimishana polepole hadi mnaelewana. lakini kama age difference ni kubwa, unaweza mdhania mwenzio anafanya hayo kwakuwa yeye ni mtoto na hivyo kuleta dharau na kutokuelewana katika familia au ndoa yenu.
Mfano mwingine, Babu yangu mie alioa wake 3 wenye umri tofautitofauti. Wakati akiwa bado ananguvu ya utafutaji, alikuwa na mapenzi na mke mdogo kuliko 1 na 2. Alivozeeka, mdogo wala hakumjali na ilibidi arejeshe "majeshi" kwa bi Mkubwa na wakati mwingine kwa wa 2. Alitunzwa vizuri sana na mke mkubwa hadi alipo fariki. So, you can think from the 2 examples.
But what i want to tell you which is the most important in marriage is LOVE and not AGE. age, is a variable that also plays its role in marriage but not as important as to LOVE. kama unampenda mkeo na mna umri sawa au unaolingana, huyo ndo wa kuoa provided that you both LOVE each other.
Jamii au tamaduni zinaweza kuanza kukusumbua kuwa watu watanielewaje?Kama mke wako ni wa JAMII na siyo mkeo basi usimuoe. Kama ni mke wako, oa huyo mke. Utamaduni usikufunge katika kufanya maamuzi. kumbuka tamaduni zinabadilika na siyo static na zinabadilika kulingana na wakati, teknolojia, miingiliano ya watu na mengineyo mengi. usifanye kitu kwakuwa Babu yako naye alikuwa akifanya hivyo au kwakuwa jirani yako anafanya hivyo.
Mwisho wa siku, MWENYE MAAMUZI ni wewe bi-NAFSI.
Kwaheri kwa sasa.
thanks much, but still in confusion, mada hii ilijaribu kujadiliwa na watu wengi and most of them wanasema the same age sio nzuri simply kwa sababu mwanamke huwa anachoka haraka tofauti na mwanaume, so majority wanapendaa kuoa wanawake wenye umri mdogo ili hata inapofika umri wa mwanamke kuchoka mwanaume nae awe anachoka
nakubaliana na wewe kwamba the only thing that matters is love. ila biological reasons nazo the matters