Hiyo "Polls" hapo hai-make sense kabisa!Sijui hawaangalii kabla ya kuweka vitu kama hivyo kwenye mtandao.Katika ulimwengu wa sasa ambao website ndo zinakuwa pengine ndo namna yako ya kwanza ya kufikia walengwa hutegemei utakuwa na upuuzi kama huo kwenye website ya Chuo Kikuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.