Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Naibi Spika ndio analimaliza bunge letu,siku ambayo hayupo bunge linaendeshwa vzuri bila mikwaruzano ya aina yoyote na kila hoja inapitiwa na kutetewa kisawasawa.
Aongee aitwe mchocheziWapi Zito wa kigoma Kaskazini, leo naye hana hoja! Bunge shenzi zake.
Ngoja watu wauze madawa, wakahonge waingie Bungeni kutetea madawa na kuazimia kung'oa wanaharakati wa madawa hayo
Kuna haja ya sheria kufafanua nini maana ya uchocheziNakubaliana na wewe kabisa mkuu yaani hata halina mvuto hata kidogo watu hata hatujui nini kinaendalea zaidi ya kusikia wabunge wa upinzani wanavyo banwa na kunyimwa nafasi ya kusikilizwa. Bunge la makinda nafikiri lilikuwa bora zaidi ya hili.
Yaani wabunge wanashindwa kuwa na umoja katika mambo ya kuishauri serikali.
Wenzao wanachukuliwa bungeni na polisi wao wanashangilia hii ni mbaya sana
Wabunge wenzao wako mahabusu kwa makosa madogo madogo wao hata hawajawahi kutoa tamko la kulaani jambo hilo
hii mbaya sana
Sasa wataishauri serikali vipi kama wao kazi ni kupigana vijembe ndani ya bunge
Koma mdomo wangu usijeitwa kwa UCHOCHEZI
Iv yupo wazir mkuu jaman Maana naona kimya
Hata mi naona kwa mana Sio kwa ukimya huoHali ya hewa sio shwali..
mawio hata machweo......
Yeye mwenyewe ana maadiliHuyu ndio papa nn... maana madili makubwa huwa hakosekani?
Sasa kadhau nini hapo? Jamaa wamesham blockKuna sehemu alisema kuna wengne wanalala wakiamka wanaongea tu