Do you know what is consummation?

Wewe unajua mantiki ya ndoa kurasimishwa kwa ngono?

Ndoa imekuwa ni taasisi nyeti kwa madhehebu ya dini na kwa serikali za nchi. Kwa pande zote ndoa ni taasisi inayopelekea kuundwa kwa familia ambazo ni kitovu cha kukua kwa nchi. Haya yatawezekana kama wawili hawa wakioana watazaliana, jambo ambalo hufanywa kwa tendo la ndoa. Sasa ikiwa lengo kuu la ndoa hii linakutana na vikwazo ndoa hiyo inakuwa na walakini. Hivyo sheria za dini na nchi zinataka walau watu hawa mara baada ya kufunga ndoa waweze kuprove kuwa wawaweza kutimiza lengo la ndoa!
 
hio ya kuprove kile kibabu changu hakifanyi kazi kitandani,haiingilii privacy yake?????lol,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kisha naombeni kuwauliza madktari wanapimaje mtu hasimamishi???kwa kumuwekea mkanda wa ngono au?lol:A S 13::A S 13::A S 13::wink2:
 
Ndoa imekuwa ni taasisi nyeti kwa madhehebu ya dini na kwa serikali za nchi. Kwa pande zote ndoa ni taasisi inayopelekea kuundwa kwa familia ambazo ni kitovu cha kukua kwa nchi. Haya yatawezekana kama wawili hawa wakioana watazaliana, jambo ambalo hufanywa kwa tendo la ndoa. Sasa ikiwa lengo kuu la ndoa hii linakutana na vikwazo ndoa hiyo inakuwa na walakini. Hivyo sheria za dini na nchi zinataka walau watu hawa mara baada ya kufunga ndoa waweze kuprove kuwa wawaweza kutimiza lengo la ndoa!

Teh teh teh...very funny! Funny because since time immemorial people have been fcuking for recreation and procreation out of wedlock.

Halafu unasema sheria za dini na nchi zinataka walau watu hawa mara baada ya kufunga ndoa waweze kuprove kuwa wanaweza kutimiza lengo la ndoa.

Kwanza waprove kwa nani? Kwa jamii? Teh teh teh....very funny. Pili, hizo sheria za dini, ni dini gani hasa? Hata zile za kimila? Baha'i? Hindu? Shinto?

Na tendo la "ndoa" pekee hali guarantee kwamba watu watazaa maana wengine ni infertile. Sheria za dini na nchi zinasemaje kuhusu hilo?

Consenquently, kinyume na ulivyosema, si mara zote ndoa hupelekea kuundwa kwa familia the old fashioned way.
 
kisha naombeni kuwauliza madktari wanapimaje mtu hasimamishi???kwa kumuwekea mkanda wa ngono au?lol:A S 13::A S 13::A S 13::wink2:

Hata mimi hilo nimeliuliza lakini mpaka sasa sijapata jibu!

Na kwanza sijui ni mtu gani mwenye akili timamu ambaye hasimamishi atataka ku go through all the hassles of a wedding while he's impotent.
 
Teh teh teh...very funny! Funny because since time immemorial people have been fcuking for recreation and procreation out of wedlock.

Halafu unasema sheria za dini na nchi zinataka walau watu hawa mara baada ya kufunga ndoa waweze kuprove kuwa wanaweza kutimiza lengo la ndoa.

Kwanza waprove kwa nani? Kwa jamii? Teh teh teh....very funny. Pili, hizo sheria za dini, ni dini gani hasa? Hata zile za kimila? Baha'i? Hindu? Shinto?

Na tendo la "ndoa" pekee hali guarantee kwamba watu watazaa maana wengine ni infertile. Sheria za dini na nchi zinasemaje kuhusu hilo?

Consenquently, kinyume na ulivyosema, si mara zote ndoa hupelekea kuundwa kwa familia the old fashioned way.

Now there is a difference between having sex in and outside the wedlock. We all know lots of religions do not allow it outside the wedlock. And on the moral side it also receives criticisms though people often do for their own desires and pleasures. Marriage remains to be legal institution for such a purpose! Is there any religion or state that does not define marriage issues?
 
Now there is a difference between having sex in and outside the wedlock. We all know lots of religions do not allow it outside the wedlock. And on the moral side it also receives criticisms though people often do for their own desires and pleasures. Marriage remains to be legal institution for such a purpose! Is there any religion or state that does not define marriage issues?

Tendo la ndoa lina guarantee kwamba hao wanandoa watazaa?
 
Tendo la ndoa lina guarantee kwamba hao wanandoa watazaa?

Its not a guarantee. Sheria haiwezi kuprovide kitu ambacho ni so uncertain. Assumption ni kwamba kama mnaweza kufanya tendo la ndoa vyema, then kuna uwezekano wa kuendeleza familia. Kama haitotokea hivyo hilo lipo nje ya uwezo wa sheria.
 
Na labda chukua mfano wa zile ndoa za kulazimishwa. Zilikuwa kawaida sana miaka ya nyuma na kwa baadhi ya jamii. Inawezekana baada ya ndoa 'mke' akagoma katakata wewe kumuingia kwa sababu hakuwa anakupenda. Now, you cant continue being with her. You can ask the court to nullify it for non consummation
 
Kuna haja ya hizi sheria kuangaliwa upya.

Laws must be reflecting the needs of respective community. So if we think we need a change thats well and good. But that should be done with care.
 
Mkuu hiyo ya kwako sawa tunakubaliana na sheria yako ya ndoa kuwa bila consummation hakuna ndoa ni null and void
ila sasa kuna ndoa za siku hizi watu wanafunga ndoa wako ukumbini bi harusi anakimbizwa hospital anakwenda kujifungua
Je hapo bado utaaita hiyo ndoa ni null and void for lack of consummation?
hiyo waliitengeneza wakati huo bwana na bi harusi hawakutani mpaka siku ya ndoa
Ila kwa mazingira ya sasa ambayo (japo sio kisheria wala kidini) watu wanaoana wakiwa na mimba ambazo bi harusi anakaribia kujifungua na hapo huwezi walazimisha eti mpaka mconsummate siku ya ndoa yenu kuifanya kuwa ndoa halali
nafikiri yote haya yanategemea kama mmoja wapo wa wanandoa hao atalalamika, kama atanyamaza tu kama ambavyo wananyamaza siku hizi,..basi ni kati yao hao wawili kwasababu anayejua kuwa wanandoa wamedooo ni wao wenyewe wawili, hakuna shahidi anayeshuhudia wakiwa kitandani mara ya kwanza....ndio maana party anayetoa malalamiko ndiye anayetakiwa kuthibitisha. Nafikiri lengo kuu la sheria ilikuwa kumpa nafasi mwanandoa asijekuolewa na *******...hasa miaka ile kwasababu wengi walikuwa wanaolewa/oa wakiwa bikira. si kama siku hizi, pamoja na kwamba ni kweli hata siku hizi haijalishi kuwa umeoa bikira au la,..kama hakutakuwa na mwingiliano ule baada ya kufunga mkataba wa ndoa, basi ndoa haijatimilizwa.......
 
Na labda chukua mfano wa zile ndoa za kulazimishwa. Zilikuwa kawaida sana miaka ya nyuma na kwa baadhi ya jamii. Inawezekana baada ya ndoa 'mke' akagoma katakata wewe kumuingia kwa sababu hakuwa anakupenda. Now, you cant continue being with her. You can ask the court to nullify it for non consummation

Now that would make sense to any reasonable minded person. And if it were up to me I'd make arranged marriages and forced marriages illegal.
 
Its not a guarantee. Sheria haiwezi kuprovide kitu ambacho ni so uncertain. Assumption ni kwamba kama mnaweza kufanya tendo la ndoa vyema, then kuna uwezekano wa kuendeleza familia. Kama haitotokea hivyo hilo lipo nje ya uwezo wa sheria.

And that's why the logic behind the law (as explained by you) is flawed! When you assume you make an ass out of yourself!
 
And that's why the logic behind the law (as explained by you) is flawed! When you assume you make an ass out of yourself!

Currently, that will be your right approach. And im not prepared to contest it. But we have to examine the law from social and historical perspectives. The law of marriage Act came to force in 1971. But as many of our laws, it is copied from the English marriage law which traces its settings back in 1600's. Now you can imagine the assumptions that were concluded from that time. What is important now is to check our current settings in concluding whether we still need this law. I agree that our law of marriage just lake many other laws needs reform!
 
Lakini pia mtu unaweza ukawa uko sawa kabisa lakini usii-consummate hiyo ndoa. Sasa hapo inakuwaje?

Itakuwa umeamua kumtenda huyo mpenzi wako. Inawezekana ikatokea hivyo maana consummation comes as aresult of having comfortability...if a person feels insecure or uncomfortable and doesnt want to fake, then forget about doing it.
 
Back
Top Bottom