Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Sasa watu wameona na wana mtoto applicability yake iko wapi iyo consummation?
Mimi ningependa sana kujua mahakama inathibitishaje kuwa tendo la kuirasimisha ndoa halijafanyika. Ni kwamba wanaliamini mazima mazima neno la mlalamikaji ama?