Afu nani angepay attention kuona kazi yao Marekani ama Europe?.basic drone shots, basic camera movements/shots, color grading hata sijui kama walifanya? Kwa hiyo hela trust me kuna vijana bongo wangetoa kitu kizuri mno
Serengeti v/s bongo muvie..mama Simba nimempenda Binti Simba action zetu zimebobea katika mapenzi na uchawi tuu Bado tuna safari ndefuELEWENI VICHWA KAMASI;-
•Gharama ya 7bil,inajumuisha kila kitu fedha ambazo sio za serekali,ni wadau wa sekta wamechangia Mimi nikiwemo,gharama hizi zimebeba,utengenezaji filamu,kuitangaza,kutangaza utalii,kutangaza uwekezaji,kuvutia wawekezaji,Ku launch filamu,kukodi kumbi,na mengi kweli.
FAIDA;-
•Tayari makampuni ya uwekezaji yanakuja nabuwekezaji wa 11Trilion,Ambayo yataajiri vijana 300,000.
::THAT WAS 2 IN 1 TOUR,NI ZIARA NA LAUNCH ILIYOKUWA NA MAMBO MENGI NDANI YAKE.
your name tells it, your brain is seated in your buttocksHapo hata kushika kamera hajui,anadhani kutengeneza filamu ni Kama kunyoa sehemu za siri
Low of you!!your name tells it, your brain is seated in your buttocks
Filamu zote za Hollywood na kwingineko kwenye maprodyuza wakubwa bado filamu zao zikifanyiwa editing'i ya kwanza huangaliwa na jopo la wachambuzi kabla ya kutoa filamu halisi, kwa kifupi kila sini huchambuliwa kwa upigaji (shot), mwanga, mavazi, sauti na mambo mengine, huku kwetu eti dairecta na prodyuza ndio mwanzo na mwisho eti hawawezi kukosolewa!Producer ana Emmy award,director ni nominee wa awards nyingi USA,kafanya royal tour na Poland,Mexico,Israel na rwanda ..leo waharibu franchise yao kwa Tanzania!!!?
Unamjua Vicensia Shule kweli?Hapo hata kushika kamera hajui,anadhani kutengeneza filamu ni Kama kunyoa sehemu za siri
Mpeni hiyo 9 billion, afanye ya kwake then mlinganishe ubora, sio mnasema afanye yake huku umekunja sura na roho!Kukosoa ni sawa ila kuponda kila kitu ni ujinga mpya..
Huyu anaekosoa basi afanye Filamu yake itasaidia
ELEWENI VICHWA KAMASI;-
•Gharama ya 7bil,inajumuisha kila kitu fedha ambazo sio za serekali,ni wadau wa sekta wamechangia Mimi nikiwemo,gharama hizi zimebeba,utengenezaji filamu,kuitangaza,kutangaza utalii,kutangaza uwekezaji,kuvutia wawekezaji,Ku launch filamu,kukodi kumbi,na mengi kweli.
FAIDA;-
•Tayari makampuni ya uwekezaji yanakuja nabuwekezaji wa 11Trilion,Ambayo yataajiri vijana 300,000.
::THAT WAS 2 IN 1 TOUR,NI ZIARA NA LAUNCH ILIYOKUWA NA MAMBO MENGI NDANI YAKE.
Acha ushamba.Muulizeni Kama anajua 4k ni nini
Tumpe kwani sisi tulioewa si tulushawishi watu? Na yeye ashawishi watu wake Ili atoe yake ndio aje kukosoa badala ya kupayuka na kuropoka hovyo.Mpeni hiyo 9 billion, afanye ya kwake then mlinganishe ubora, sio mnasema afanye yake huku umekunja sura na roho!
Huyu ndiye alisema wadada wa UDSM hawajui kuosha papuchi, uzi upo humu
Huyu dr. Ndio alisemaga wanafunzi wa UDSM hawajui kuoga, wananuka hovyo tu.
Sina hamu na huyu doctor. Huyu hata ukitembea naye lazima akutangaze kwamba ni mkulima na mmiliki halali wa bamia.
khaaaahFilamu ya kitoto sana ile.
Bibi Maushungi na basha wake Peter Greenbird wamepiga pesa za serikali kiulainiii. BILLION TISA.
Mama anaupiga mwingi.
Starling kwenye picha ni wa muhimu zaidi ku-draw attention ya kimataifa. Vijana wa Bongo Movie wangeweza kuonekana kama walikuwa wana-shoot picha za kawaida tu kwenye tour yao moja fulani hivi; hakuna mtu wa nje ambaye angeweza kuiangalia zaidi ya sisi wenyeweHoja hapa ni ubora wa Royal tour ya Tanzania. Hata vijana wa Tanzania wangetengeneza ya kiwango hiki. Bil 11 zimepigwa na mafisadi wa Makunduchi
ataweza sasa? Rushwa ya ngono hapo UD n next level.Huyu maza hamnazo tu, si alisema anapambana na unyanyasaji wakingono udsm alifikia wapi?
Kama Dr Vicencia Shule hawezi kutengeneza nywele kama anavyoonekana hapo, basi hata mavuzi hanyoi, yana mabutu
Hii ni sawa kwenye mpira, unakuta Rais wa TFF anawaambia watu wasijifanye wajuzi wa vitu ila wanasahau ili uwe mpira lazima kuwe na mashabiki ambao kwa kiasi flani wanafahamu taratibu zake.Kwani quality ya filamu huwezi kujua mpaka ushike kamera? Mbona hata tulipokuwa wadogo kuna movie tulikuwa tunaziponda namna zilivyoandaliwa.