Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
Dr Mlopofu(Slaa) uwa yupo ladhi kuongea uongo kuichafua serikali yaani nia yake ni kuitoa serikali madarakani kwa nguvu sio sera,hapa mi ndio maana uwa namkubali Zitto Kabwe rais wangu mtarajiwa,yeye uwa anahoja nzito kuliko Slaa,pia anaichafua serikali kwa hoja za kweli kama juzi kati kawaokoa wasanii wanavyoibiwa katika makampuni ya simu,katoa hoja kali paka Pinda kapata presha na Kikwete kubadili mawaziri fasta.