Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?
Na utampaje UDC mke wa mtu kwa sababu ni hawara yako?
Si mbumbumbu kwenye uchumi tu, hata katika maisha yake binafsi amejionyesha ni mbumbumbu... Utatembeaje na mke wa mtu bila kujua?
Ametindikiwa mambo ya kusema msameheni Kamara wa watu apumzike siasa asubiri uteuzi wa rafiki yake JK
haaaa hata makamba!?????????naona serikai yote ni feki. Maana wengi wao wanaitwa madoctor. Mfano dr jk, kamala, nchimbi, chegeni, makongoro, makamba, nk,taja mwenyewe. Kwa style hii nchi itaenda kweli, lazima ikwame tuu.
Rais Mtarajiwa Dr Slaa angekuwa mbumbumbu basi Kikwete asingeukacha mdahalo na kuingia mitini. Utaogopa vipi kufanya mdahalo na mbumbumbu? Raisi wa nchi anapoingia mitini kufanya mdahalo na mbumbumbu ni nani ambaye ni mbumbubu kuliko mwenziye? Huhitaji kwenda shule kujibu hili swali eace:
jamani haya watu akili wanazo basi, kunahaja ya kupima iqyeye si ndo alikaa kwenye hivyo vikao vya kupitisha makubaliano hayo hakuona kama yataumiza wa tz, ukweli wengi bado wanakaa kwenye matembe! Mi nafikiri ndo mana hata ccm wenyewe waliona hafai!
[/I][/B][/COLOR]
Na utampaje UDC mke wa mtu kwa sababu ni hawara yako?
Mchungaji Slaa anchojua ni kunukuu maneno ya nabii Paul, na ndio udaktari wake wa kusoma bibilia!!