Heshima kwenu....
Wakuu hii treni ya mhe Dk Mwakyembe imekuwa msaada sana kwetu sisi wananchi wa hapa Dar wa ubungo Tabata hadi kufika...posta stesheni
Kitu ninachoamini ni kuwa haya mabahewa yana carrying capacity yake ...
sasa jioni ya leo kwa safari yetu ya safari 12 jioni kutoka mjini to Ubungo hali ilikuwa tete...kwani wananchi tulijazwa kwenye mabahewa kiasi kwamba hapakuwa na nafasi hata ya kugeuka au la...hewa ikawa ya shida
Sasa hoja yangu hapa ni kuwa hii ni hatari sana ikitokea changamoto yoyote...mfano ktk safari hio kuna tanker la mafuta lilikuwa katikati ya njia ya reli na likashindwa kutoka hadi treni yetu ikalazimika kusimama...Mungu ashukuriwe treni ilikuwa haina spidi kubwa hivyo dereva wa treni akajitahidi na kuweza kusimama isingekuwa hivo....muda huu ingekuwa ni msiba mkubwa coz crash ya treni na tanker la petrol effect ni fatal
nawasihi wahusika chonde chonde mabehewa yabebe abiria kulingana na uwezo wake ili likitokea la kutokea probability ya rescue iwe above 50% maana hii ya Leo jioni lingetokea
lolote probability ya kuokoka na kujiokoa was less than 5% .....pia traffic chonde chonde na madreva kupaki kwenye reli ni fatal
hao SUMATRA AISEE kama wana husika please
Dk tafadhali fika pale stesheni kama muda utakuruhusu.
otherwise treni inatusaidia sana...ni maboresho tu
Building the Nation different ways
Nawasilisha
Wakuu hii treni ya mhe Dk Mwakyembe imekuwa msaada sana kwetu sisi wananchi wa hapa Dar wa ubungo Tabata hadi kufika...posta stesheni
Kitu ninachoamini ni kuwa haya mabahewa yana carrying capacity yake ...
sasa jioni ya leo kwa safari yetu ya safari 12 jioni kutoka mjini to Ubungo hali ilikuwa tete...kwani wananchi tulijazwa kwenye mabahewa kiasi kwamba hapakuwa na nafasi hata ya kugeuka au la...hewa ikawa ya shida
Sasa hoja yangu hapa ni kuwa hii ni hatari sana ikitokea changamoto yoyote...mfano ktk safari hio kuna tanker la mafuta lilikuwa katikati ya njia ya reli na likashindwa kutoka hadi treni yetu ikalazimika kusimama...Mungu ashukuriwe treni ilikuwa haina spidi kubwa hivyo dereva wa treni akajitahidi na kuweza kusimama isingekuwa hivo....muda huu ingekuwa ni msiba mkubwa coz crash ya treni na tanker la petrol effect ni fatal
nawasihi wahusika chonde chonde mabehewa yabebe abiria kulingana na uwezo wake ili likitokea la kutokea probability ya rescue iwe above 50% maana hii ya Leo jioni lingetokea
lolote probability ya kuokoka na kujiokoa was less than 5% .....pia traffic chonde chonde na madreva kupaki kwenye reli ni fatal
hao SUMATRA AISEE kama wana husika please
Dk tafadhali fika pale stesheni kama muda utakuruhusu.
otherwise treni inatusaidia sana...ni maboresho tu
Building the Nation different ways
Nawasilisha