frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,099
- 1,338
Wakuu salama!
Tuliotoka makanisani na tuliopo bado, tumsifu yesu kristu? na bwana yesu asifiwe?
Hoja yangu ni ndogo tu naomba kumjua kiasi diwani huyu kwa CV na chochote? , kwasababu
1. Kuna siku nilikutana naye ubungo stand nilipenda sana style yake ya kushungulikia mambo kwa ujasiri mkubwa sanaaaa yani anajiamnini sana (mpaka raha kumuona)
2. Pia juzi wakati Mh. Mbowe anakwenda kuhojiwa police diwani huyu alikuwepo nyuma yake kama bodyguard wake kwa sura mbuzi na ngumu, ujasiri mkubwa, ukakamavu uliotukuka, nakujiamini sanaaa mpaka raha na mengine mengi
Naomba kumjua kiasi nijifunze kitu kutoka kwake. asanteni.
Tuliotoka makanisani na tuliopo bado, tumsifu yesu kristu? na bwana yesu asifiwe?
Hoja yangu ni ndogo tu naomba kumjua kiasi diwani huyu kwa CV na chochote? , kwasababu
1. Kuna siku nilikutana naye ubungo stand nilipenda sana style yake ya kushungulikia mambo kwa ujasiri mkubwa sanaaaa yani anajiamnini sana (mpaka raha kumuona)
2. Pia juzi wakati Mh. Mbowe anakwenda kuhojiwa police diwani huyu alikuwepo nyuma yake kama bodyguard wake kwa sura mbuzi na ngumu, ujasiri mkubwa, ukakamavu uliotukuka, nakujiamini sanaaa mpaka raha na mengine mengi
Naomba kumjua kiasi nijifunze kitu kutoka kwake. asanteni.